Tetesi: R Kelly sasa ana Tsh 29,000 kwenye akaunti

R. Kelly njoo uishi bongo baba, huku utamzidi hata Dimond ambaye anatusumbua sana, kaa then tutakupa uraia
 
WACHA kutulisha matango pori wewe!

Mortgage inaingiaje kwenye nyumba ya kujenga mwenyewe?

Umesema mara tatu nyumba kajenga mwenyewe!

We vp we diaspora wewe? Someni shule mkiwa huko.
l labda makosa ngoja nikasome
 
Kumbe ndio maana watu wanajinyonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaisha!! Ila poa tu mbona mimi sina hata mia na nnadunda tu makusudi?
 
Huyu jamaa ashazoea kuvitafuna vitoto vidogo 15,16 miaka
Malalamiko hayo hayaanza leo wala jana....aliyah mwenyewe alimegwa
Akiwa kibint kdg na jamaa

Ova
 
Achana na hao wagumu, kuna wakati walidai 50% anadaiwa kachacha na nini na nini...
Ukimtazama kweli kachacha yule?!
Hawa jamaa wanajipanga kuliko aise...
 
Nendeni you tube
Tafuteni mahojiano aliyofanya na CBS jamaa alilalama sana hadi kudai alikuwa anaibiwa hela,hajui wakati mwingine fedha zilikuwa znakwenda wapi?

Matumizi ya kina Floyd pia asije naye akaja kulialia

Ova
 
Bado Mayweather asipojifunza kupitia black wenzake basi wazungu watamfunza siku za baadae

Amtazame Tyson
 
R Kelly huyhuyu si ndo aliimba na Kiba???

Hapa inawezekana Domo kafanya fitna, haiwezekani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…