Labda mimi naweza kuchangia kidogo hapa.. Kuna chama cha siri kinaitwa Rothschild naimani sio jina geni kwako we mfuatiliaji wa haya mambo... Sasa Rothschild imetumika kwa kiasi kikubwa sana kumfinance Hitler, sambamba na vatican chini ya kanisa la roman cathoric under, pope pius.. Kwa hivyo basi huu ukoo wakiyahudi wa Rothschild uliingia kwenye mkataba, katika kipindi cha vita ya kwanza ya dunia, chini ya mkataba unaoitwa Tha Barlfoul declaration ambayo by that time palestine was under Britain, sasa kutokana na vuguvugu ya vita ya kwanza na ujerumani kama kawaida kuonekan chachu, nakuonyesha upinzani mkubwa dhidi ya allies, Rothschild ili ishinikiza serikali ya uiingereza, kuwaruhusu wayahudi ambao by that time walikua wanakaa ulaya kuhamia palestine ambayo it was a mandate territory over the Britain.
Makubaliano ya mkataba huu yalikua nikuhakikisha ili ujerumani kushidwa vita, inabidi mtoto wa uingereza ambaye ni Marekani kuingilia katika ya vita au mwishoni wa vita na kuongeza nguvu kwa allies ili washinde vita, na kwa wao kushinda vita ilikua ni kwakusign mkataba wa balfour wa kuwaruhusu wayahudi kuhamia palestine, huku wakiandaa harakati au upenyo au njia ya vita ya pili, na changamoto yote ya holocaust (mauaji ya wayahudi katika vita ya pili), ili wayahudi wapate pakujitetea pakukimbilia walihali wenzao walisha tangulia kabla.
Hivyo basi kwakua mchakato mzima uliundwa na wazayuni, ambao ni hao rothschild, Theodore herlz etc, na wao hao ndio walitunuku hyo bendera na hyo alama ya nyote kua hapo... "Kumbuka Rothschild ni jamii ya siri ambayo zina sadikika kumtumikia muovu ibilisi shetani, kwa wanao amini, na alama ya nyota au hexagram ni nembo kubwa sana kwa hizi jamii za siri na za kishetani" kumbuka kunatofauti sana kati ya uzayuni, ambao naweza kusema ni kama ugaidi kama isis, dhidi ya uisraeli wenyewe ambao tumeweza kuushuhudia katika maandiko matakatifu ambao umeletwa na mitume, manabii na wafalme. Nadhani nimejieleza vizuri.