Rachel Temu vs Hyatt Regency: Ushauri wangu kwako..

Rachel Temu vs Hyatt Regency: Ushauri wangu kwako..

Kabla hujawatetea hao wapuuzi hyat na hoteli zingine.
Unajua tofauti ya mishahara wanayopewa foreigners na wazawa?

(Kwenye mabano kuna tusi la da Ma...)
Ni kweli je turudi Kwenye elimu Asilimia kubwa ya watanzania Kwenye 5 stars hotel wengi wao ni Wafanyakazi wa nafasi za kawaida. Serikali YETU yenyewe inadharau hii Sekta ukiachana na National college of tourism ambayo inatoa Mwisho diploma nitajie chuo kinachotoa degree ya hospitaly hapa Tanzania vitano tu?

Pili hii Kada inachukuliwa the last option kwa watanzania mtu akifeli anatupwa miezi 6 hotel management alafu unataka akachuane na wazungu mshahara be serious
 
Naona kaachana na Singita Grumet kahamia Hyatt. Rachel nae kama Mange basi tu mmoja yuko bongo mwingine US ila akili moja hao mashoga wa zamani.
 
Naona kaachana na Singita Grumet kahamia Hyatt. Rachel nae kama Mange basi tu mmoja yuko bongo mwingine US ila akili moja hao mashoga wa zamani.
Huwezi mfananisha mange na recho bana
 
watu wanamuogopa sana yule ana matusi ,ila sijui ana matatizo gani.kila mtu ana uhuru wa kufanya biashara yake .issue ya pricing kwenye mahoteli ni uamuzi binafsi wa hotel sio ya serikali
Matusi na sifa. Alivyo mzuri jamani akili yake nayo ingekua nzuri vile sijui ingekuaje.
 
Ni kweli je turudi Kwenye elimu Asilimia kubwa ya watanzania Kwenye 5 stars hotel wengi wao ni Wafanyakazi wa nafasi za kawaida. Serikali YETU yenyewe inadharau hii Sekta ukiachana na National college of tourism ambayo inatoa Mwisho diploma nitajie chuo kinachotoa degree ya hospitaly hapa Tanzania vitano tu?

Pili hii Kada inachukuliwa the last option kwa watanzania mtu akifeli anatupwa miezi 6 hotel management alafu unataka akachuane na wazungu mshahara be serious
5* Hotels hazina wahasibu,HR,Chefs na watu wa calibre hio? Wapo ila unakuta wamejazwa wahindi,wakenya wabongo wanabaki kwenye uhudumu.
 
Huyo Rachel Hana Akili uitetee Doubletree uipondee Hyatt hivi ni mwananchi yupi WA kawaida anauwezo wa kulala Doubletree tupilia Mbali Hyatt?
 
Back
Top Bottom