Radi iliyopiga juzi Dar imeacha hasara ya kutosha

Mkuu Rudi shule, hujajua kazi ya earthing system bado, kama hujui kitu bora unyamaze kuliko kutoa elimu ya uongo.

Hoja kwa hoja, tuepuke kashfa kiongozi wangu, tuko hapa kujifunza. Hebu mkosoe huyu kiongozi kwa hoja ili na Mimi nielimike kupitia Hilo.



Uko sahihi Mkuu
Kama manguli mmekubaliana mimi pimbi ni nani hata niwakatalie?
 
Huko radi nyingi ni za kiutamaduni, mnatengeneza radi zenu wenyewe.
Mzee baba mimi sio kwetu huku, nipo kikazi na ndio mvua za masika za kwanza hizi tangia nihamie pande hizi. Alafu hizo Imani ifikie kipindi tuachane nazo kwa kipindi hiki cha advanced technology. Kwa wanaelewa kwanini radi zinapiga maeneo flani duniani topographically hatushangai mikoa iliyopitiwa na bonde la ufa kuwa na lightening and thunder storms zenze nguvu.
 
mbebishana kwa hoja nipenda comment ja jamaa aliyesema kinachopitisha umeme kweny. udongo ni ule uyevu uyevu
Mkuu kunakitu kinaitwa vipitisho rasmi
Na visivyo rasmi

Ieleweke ya kua vyote ni vipitisho ila vinazidiana uwezo wake

Mti ni kipitisho
Waya ni kipirisho
Maji ni kipitisho
Ila tu vinginge ni rasmi vingine sio rasmi
Uwezo,ubora ndio vinaamua kipi kikae wapi

Aridhi ni kipitisho ila sio rasmi sio bora ila kinapitisha
 
Nemecheka sana aisee, kweli walimu wa shule za msingi wanatakiwa waipwe kuliko wale wa sekondari. Ushaambiwa udongo bado unaleta hoja za tofali la kuchoma. We kwa akili yako tofali la kuchoma na udongo ni sawa?
 
Daah umenikumbusha kipindi kimoja 2020-2021 nili ishi katavi wilaya ya mlele
Aisee huko Kuna radi nibalaaaa
Mvua kidogotu radi Zina miminika kama upepo...!!
 
Nemecheka sana aisee, kweli walimu wa shule za msingi wanatakiwa waipwe kuliko wale wa sekondari. Ushaambiwa udongo bado unaleta hoja za tofali la kuchoma. We kwa akili yako tofali la kuchoma na udongo ni sawa?
Content. Udongo unawezakuwa ktk maumbo mbalimbali ikiwemo tofali kama hutaki tofali la kuchoma basi tofali Hilo Hilo kabla halijachomwa.
Bado linaundwa kwa udongo.
 
Content. Udongo unawezakuwa ktk maumbo mbalimbali ikiwemo tofali kama hutaki tofali la kuchoma basi tofali Hilo Hilo kabla halijachomwa.
Bado linaundwa kwa udongo.
Kwa hiyo nikisema niweke mbegu za alizeti kwenye chakula badala ya mafuta ya alizeti nakuwa niko sawa tu au sio. si zote ni alizeti. Nenda shule ujifunze kubadilika kwa states za vitu,

We unajua maji yanapitisha umeme, lakini kuna namna maji ukiyafanya hayapitishi umeme.

Au kwa kuwa umesema tofali ya kuchoma ni udongo, tuichukue tuchanganye na simenti tupate tofali ya block, unaonaje hapo.
 
Afu mwingine anaweka ya 6000😂😂
Kwa nini mnahangaika kigezo cha bei badala ya kutumia kigezo cha ''inayofaa kwa kazi hiyo''. Je, mtu akiuziwa hiyo ya 6000 kwa 100,000 itafaa? Mimi nadhani tungehimiza kuwa tutumie mafundi wenye ujuzi na wanaoaminika kuliko kigezo cha bei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…