Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Hiyo nyumba basi ilikuwa ndefu sanaZinasaidia sana , Ila mara nyingi uwekwe ghorofani , kwenye nyumba za kawaida kuwekwa sio sana ( hasa vijijini) kwa kuwa watu wengi hawana elimu husika , kingine vijijini miti mibichi mirefu ni mingi yaani nyumba ni fupi kuliko miti , hivyo radi ikija ufika Kwanza kwenye miti kabla ya nyumba