Hiyo nyumba basi ilikuwa ndefu sanaZinasaidia sana , Ila mara nyingi uwekwe ghorofani , kwenye nyumba za kawaida kuwekwa sio sana ( hasa vijijini) kwa kuwa watu wengi hawana elimu husika , kingine vijijini miti mibichi mirefu ni mingi yaani nyumba ni fupi kuliko miti , hivyo radi ikija ufika Kwanza kwenye miti kabla ya nyumba
R.I.P Jafari na Hamidu. Poleni wazazi na familia kwa ujumla.Jafari Amiri (12) mwanafunzi wa darasa la nne na Hamidu Amiri (9)
No , may be hapo karibu hakuna kitu kingine kirefu kuliko nyumba, pia unaweza kukuta kilichopigwa radi sio nyumba ni watotoHiyo nyumba basi ilikuwa ndefu sana
Aisee kwahiyo miti mrefu ni muhimu kuwa nayo karibu na nyumba eeh. Thank you kwa ufafanuziZinasaidia sana , Ila mara nyingi uwekwe ghorofani , kwenye nyumba za kawaida kuwekwa sio sana ( hasa vijijini) kwa kuwa watu wengi hawana elimu husika , kingine vijijini miti mibichi mirefu ni mingi yaani nyumba ni fupi kuliko miti , hivyo radi ikija ufika Kwanza kwenye miti kabla ya nyumba
Ni kweli hata mimi ule muungurumo wa radi ndiyo nauogopa zaidi ! Sitosahau siku radi iliavoupiga mti wa maparachichi mkubwa ila kufumba na kufumbua ulibaki mkavu kiasi unaweza chukua kuni na ukapikia papo hapo! Niliwaza hivi ingefikia kwenye nyumba za watu si ndiyo inakausha wote dah🤔🤔Kingine radi uwambatana na sauti , yaani mwanga na sauti , kwa kuwa mwanga ( light) Una speed kubwa kuliko sauti , mwanga uunza kutokea kabla ya sauti ( radi) , huu mwanga ( lighting) ndio hatari zaidi kuliko hiyo sauti , lighting ndio usababisha madhara , Ila watu wengi uogopa sauti
Io sio kaz rahis iwekwe sheria kila nyumba lazima vifungwe vifaa vya kupambana na radiPole kwa familia ,radi zinatisha sana!! Serikali ijenge towers za kuzuia radi sehemu hatarishi.
Poleni sana wafiwaKitombo
Inaweza kuwa fupi ila ipo high level than sorrounding apo sasaHiyo nyumba basi ilikuwa ndefu sana
Sio karibu sana maana ule mkondo wa umeme ukishuka unaweza kuchanganya mti pamoja na vilivyopo karibuAisee kwahiyo miti mrefu ni muhimu kuwa nayo karibu na nyumba eeh. Thank you kwa ufafanuzi
Aisee kumbe sasa inabidi iwe umbali gani? Mbona iko complicated hii radi jamani 😒Sio karibu sana maana ule mkondo wa umeme ukishuka unaweza kuchanganya mti pamoja na vilivyopo karibu
Radi ikiwa kubwa huwa na tabia ya kugawanyika kutafuta sehemu ya kumalizia nguvu zakeAisee kumbe sasa inabidi iwe umbali gani? Mbona iko complicated hii radi jamani 😒
Radi ni umeme wenye nguvu sana , ikija inatafuta conductor ( kupitisha umeme ) ,ili ipitie hapo , ndio maana nyumba nyingi uwekwe steel rod kulichojitokeza juu ya Bati ili iweze kupitia humo , wanyama na miti mibichi upitisha umeme ndio maana ufuatwa na radi iwapo chenyewe kirefu kwenye maeneo hayo, radi nyingine uwa za kishirikiana lakini ( Kama wasemavyo baadhi ya watu )
Yes unastua sana, ni ngumu kuuvumiliaNi kweli hata mimi ule muungurumo wa radi ndiyo nauogopa zaidi ! Sitosahau siku radi iliavoupiga mti wa maparachichi mkubwa ila kufumba na kufumbua ulibaki mkavu kiasi unaweza chukua kuni na ukapikia papo hapo! Niliwaza hivi ingefikia kwenye nyumba za watu si ndiyo inakausha wote dah🤔🤔
Diwani wa malezi ndugu Shabani KitomboHuyo Diwani wa malezi abadilishe jina, vinginevyo radi itakuwa inarudi kila mara. Ni hayo tu
Io sio kaz rahis iwekwe sheria kila nyumba lazima vifungwe vifaa vya kupambana na radi