Radio za Kikristo mnakera sana kwakweli

Radio za Kikristo mnakera sana kwakweli

Nimepanda gari la jamaa yangu aweka Radio zao hizi. hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.

Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine. Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.

kuna siku moja nasikiliza redio zenu za kiislamu mnatangaza waganga wa majini ili nikera sana japo nilipata mganga wa kumroga jirani alikuwa anapenda ccm
 
kuna siku moja nasikiliza redio zenu za kiislamu mnatangaza waganga wa majini ili nikera sana japo nilipata mganga wa kumroga jirani alikuwa anapenda ccm
Redio za mchongo mimi sisikilizi kabisa kutwa matangazo ya Masheikh wa kitiba na kutoa majini.
 
View attachment 2456526

Hata uislamu ulipoanza watu watu kama hao walikuwepo ,walitukana sana na kutoa madai ya uwongo mwishowe wamefakiri lakini kitu wanachokichukia kinazidi kushamiri na wanataka tufuate mila zao hapo watutuona Magenius ,wastaarabu nk.

Haya ni najaribu kama najaribu mengine hayakuanza leo na wala hayatoisha leo wala Kesho ,lililo muhimu kwetu kuwa na subra ,kuvumilia kwa ajili ya Allah na tujiepushe njia yao mfano wakianza matusi na kejeli sisi tusirudishe matusi yao tuwajibu vizuri na kuwasapuka ikibidi kwani hawezi kutudhuru yeyote ikiwa sisi tumeongoka kea idhini yake Allah.View attachment 2456534
Hakika
 
Huu mwaka bora uishe tu. Maana umevuruga watu wengi sana.
 
Nimepanda gari la jamaa yangu aweka Radio zao hizi. hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.

Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine. Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Sio radio ya baba yako wala gari la mama yako funga domo na tembea kwa miguu kwenda unapo hitaji na usitupangie matumizi ya mali zetu. Maendelea hayana dini Wala chama.
 
Muhamad alikuwa akikaa uchi mbele ya wanaume wenzie na kunyonya ulimi wa Hasan kila siju ndani ya Msikiti.

KWANINI MUHAMMAD ALIKUWA SHOGA NA ALIKUWA ANAKAA ANAKAA UCHI MBELE ZA WANAUME USHAHIDI NA KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA ULIMI WA HASAN KILA SIKU NDANI YA MISIKITI JAMANI?

Imesimuliwa 'Aishah: "

Zaid bin Harithah aliwasili Al-Madinah wakati Mtume wa Allah (ﷺ) alikuwa nyumbani kwake. Kwa hivyo alikwenda na kugonga mlango, kwa hivyo Mjumbe wa Allah (ﷺ) alisimama uchi akiburuza nguo yake - na Wallahi! Sikumuona akiwa uchi kabla na baadaye - naye akamkumbatia na kumbusu. Wanasema kuwa maana ya uchi hapa ni kwamba hakuwa amevaa Rida (chupi )yake au kanga ya juu na ndiyo iliyokuwa ikiburuza, kwa hivyo eneo kati ya kitovu na magoti lilifunikwa.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ إِسْمَاعِيلَ، حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ يَحْيَى بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَبَّادٍ الْمَدَنِيُّ، حَدَّثَنِي أَبُو يَحْيَى بْنُ مُحَمَّدٍ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ إِسْحَاقَ، عَنْ مُحَمَّدِ بْنِ مُسْلِمٍ الزُّهْرِيِّ، عَنْ عُرْوَةَ بْنِ الزُّبَيْرِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ قَدِمَ زَيْدُ بْنُ حَارِثَةَ الْمَدِينَةَ وَرَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي بَيْتِي فَأَتَاهُ فَقَرَعَ الْبَابَ فَقَامَ إِلَيْهِ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم عُرْيَانًا يَجُرُّ ثَوْبَهُ وَاللَّهِ مَا رَأَيْتُهُ عُرْيَانًا قَبْلَهُ وَلاَ بَعْدَهُ فَاعْتَنَقَهُ وَقَبَّلَهُ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ لاَ نَعْرِفُهُ مِنْ حَدِيثِ الزُّهْرِيِّ إِلاَّ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ ‏.‏

Jami` at-Tirmidhi 2732 Juzuu ya 5 kitabu cha 40 Hadith 2732



NJOO TENA HAPA MUHAMMAD ALIKUWA ANAKAA UCHI MBELE YA MASWAHABA ZAKE

Aisha amesema Mtume wa Allah : “kuwa Mtume alikuwa anakaa uchi mbele ya maswahaba.”

قالت عائشة: أن النبي كان الله: "أن النبي كان جالسًا عريانًا أمام الصحابة".
: Sahihi Muslim Juzu . 4 Ukrasa . 153

KWA NINI MUHAMMAD ALIKUWA ANAUNYONYA WA ULIMI HASSAN NDANI YA MISIKITI?

Imesimuliwa na Abu Huraira

alisema, "Sikuwahi kumwambia sa-al-Hasan bila macho yangu kufurika machozi.

Restless Hustler endelea kupata madini hapa. Leo nipo free nikueleze uislamu ni nini kwa kutumia kitabu chao wala sikashifu dini yao.
Utazua balaa humu pasikalike
 
Nyinyi ni wachokoz sana. Hatuwezi kunyamaza
Muislamu anayejielewa hawezi kuanzisha nada ya kipumbavu kama hii ,huyo jamaa ukimfuatilia japo anajinasibu na uislamu Kazi yake mara nyingi kuanzisha mada zenye utata na kuleta mabishano ya kidini kisha kupotea .

Mfano halisi hapo akijisifia kula kitimoto hadharani na kusema anaingia kwenye ukafiri wakati kidini si vizuri mtu kutangaza maovu yako na huyo jamaa ni kipaumbele kwenye kuyqtangaza maasi yake na nyuzi nyingi za kujitangaza yeye mzinzi na jinsi anavyoifanya Kazi hiyo kwa ukamilifu ,hapo napata mashaka na Uislamu pamoja na akili yake kuwa ujumla.
Screenshot_20221224_122929.jpg


Nyingi wakiristo wa humu Jf mnamatatizo mfano mtu akiandika uzi dhidi ya ukiristo Moja kuwa Moja mnamuhisi kuwa muislamu pamoja kuchukua mtizamo wako ndio uislamu na kuushambulia uislamu na sio hoja wala pumba alizoandika.Mara nyingine mnaenda mbali na kutoka nje ya uzi na kuleta kejeli na matusi na dhihaka zisizo na msingi mfano baadhi ya wapumbavu hapo juu ikiwemo na wewe niyeKuQuote.

cc: Che mittoga Tate Mkuu
 
Muislamu anayejielewa hawezi kuanzisha nada ya kipumbavu kama hii ,huyo jamaa ukimfuatilia japo anajinasibu na uislamu Kazi yake mara nyingi kuanzisha mada zenye utata na kuleta mabishano ya kidini kisha kupotea .

Mfano halisi hapo akijisifia kula kitimoto hadharani na kusema wanaingia kwenye ukafiri wakati kidini si vizuri mtu kutangaza maovu yako na huyo jamaa ni kipaumbele kwenye kuyqtangaza maasi yake na nyuzi nyingi za kujitangaza yeye mzinzi na jinsi anavyoifanya Kazi hiyo kwa ukamilifu ,hapo napata mashaka na Uislamu pamoja na akili yake kuwa ujumla.View attachment 2456573

Nyingi wakiristo wa humu Jf mnamatatizo mfano mtu akiandika uzi dhidi ya ukiristo Moja kuwa Moja mnamuhisi kuwa muislamu pamoja kuchukua mtizamo wako ndio uislamu na kuushambulia uislamu na sio hoja wala pumba alizoandika.Mara nyingine mnaenda mbali na kutoka nje ya uzi na kuleta kejeli na matusi na dhihaka zisizo na msingi mfano baadhi ya wapumbavu hapo juu ikiwemo na wewe niyeKuQuote.

cc😡Tate Mkuu che mitoga
Nonsense
 
Kweli kabisa ,acha mbali kutukanwa na kebehi kuhusu Uislamu na Mtume Muhammad ( upon him be peace and blessing of Allah)bila sababu za msingi kuna watu kila siku wanamtukana Mola mlezi na yeye bado anawapa pumzi na riziki ya kila siku.
0a7acab2479c8c3f7a421e5668036d8a--words.jpg


Kuchukia maneno machafu wanayotoa ni dalili ya imani na inapaswa iwe hivyo ,ila tunafundishwa mtu usiighilibu nafsi yako na wala kuhuzunika kutokana na wasemayo kwani hiyo wamepitia wengi mno Kati ya waja wema.
d4233aca0549877ec2ba43d4a9521f2e.jpg



Cha msingi sisi kufuata yetu na tuangalie kipi tumetanguliza kwa ajili ya kesho na imani zetu shari za maneno yao tuwaachie wenyewe wakitandika barbara ya matusi sisi tupite njia nyingine
5eb1e5fd3b690f5c141e8d4cdb8218fc.jpg
 
Back
Top Bottom