Radio za Kikristo mnakera sana kwakweli

Nimepanda gari la jamaa yangu aweka Radio zao hizi. hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule
Anzza na huyo jamaa yako mwambie aache ujinga azime redio, hajui kwamba unakereka!!?
 
Utapanda gari la jamaa yako halafu ukimaliza jamaa yako atakupanda wewe
 
Utapanda gari la jamaa yako halafu ukimaliza jamaa yako atakupanda wewe
Nimeanza na kupanda gari
Then nitampanda na yeye

Mi nawaaambia watu ukweli sina unafiq kitimoto weeeee.
 
UNAFIQ NDO UMEKUJAA. QURAN INARUHUSU MTU AKIWA NA NJAA NA HAKUNA CHAKULA KINGINE KULA KITIMOTO. NA NDIVYO INAVYOTOKEA KWANGU. ACHA UNAFIQ.
Hata kama hakuna ruhusa ya mtu kujisifu na kutangaza ovu lake .
 
Kama hazipati ruzuku, hazifanyi biashara na hazichezeshi kamari kupata fedha zitalilipaje mishahara ya wafanyakazi wao? Watangaze tu hayo matangazo ya shule ili wapate fedha
 
Sasa huu si ndio msimu wake dada angu... we ulitaka matangazo yapi?
 
Mbona waislam wanawekaga yao?
 
Muislam na shule wapi na wapi lazima yakukere.
Mohamed mpk kufa kwake alikuwa hajui kusoma na kuandika.
hata Yesu alikuwa hajui kusoma na kuandika mkuu...sio yyte tu bali manabii wote ndio walivyo..
 
jamani si kwenye neno la Mungu imeandijwa elimu ndio uzima na tusiuache akakimbia akaenda zake ndio wanachofanya kila siku. pole kama umekerwa itakuwa tu labda sikukuuu imekuwa mbaya kwako
 
Msimu wake huu..vumilia soon yataisha
 
Mkuu wewe mjanja sana, umeweka neno "redio za kikristo" kwa makusudi ili kuvutia uzi wako. Subiri wenyewe waje πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Basi tutaweka na matangazo ya nguvu za kiume,kusafisha nyota,mvuto wa biashara na kuuza majini na wadangaji professional.
Utafutahi mleta mada?
 
Kwa hiyo ulitaka waweke matangazo ya "tatu mzuka", " mchongo pesa" au " buku nibukue"?
 
DINI YENU imeanzishwa na Shetani.
Roman+mood+Majini+ Mapepo.
= Islamic
Mkuu inabidi usali sana maana hata humu hayo majini yapo, kama nayaona yanavyojipanga kukutafuta kwa udi na uvumba ilimradi tu yakuvuruge...[emoji124]

ZABURI 118:6, 17.
METHALI 14:27.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…