Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,460
- 2,908
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yawapi unavutaMimi umri ulivyozidi kusogea mbele niligundua bangi ndio rafiki wangu wa ukweli, marafiki ni wanafiki tu[emoji205]
Bangi inanikera harufu, so huwa napendelea ile ya kutafuna,ipo kwenye mfumo wa kashata.Mimi umri ulivyozidi kusogea mbele niligundua bangi ndio rafiki wangu wa ukweli, marafiki ni wanafiki tu[emoji205]
Mimi najua yapo wewe kama huyataki sawa bhna ila yapo kbs[emoji23]wana waisrael walishafika huko na wamemaliza maziwa na asali yote, ndomaana wengine tupo tunaparangana tu na maandazi na chai ya pilipili
Shkamoo bro. Nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewe.Mimi umri ulivyozidi kusogea mbele niligundua bangi ndio rafiki wangu wa ukweli, marafiki ni wanafiki tu🐒
Best comment at right position #2 😂😂😂😂Hizo mood personal ndio type zangu
Mjomba hahitaji mtu wa kuishi nae..huna pa kuishi kwan?😂😂Sasa kama humaindi kuchati mtakuwa mnaishi na huyo mr rafiki kama ma-mute fulani hivi?
Bora aliyejisema rafik ake wa kwel ni bangi tu p😆😆Marafiki mnaitwa huku
[emoji2] watoto hawatakiwi kubeba mizigo mikubwa boss,kama mzazi ndo nawapambania ili nitatue changamoto zao na sio wao wabebe zangu .Alafu kila mmoja na namna yake ya kulitazama na kulitatua tatizo .unaweza usiwe na rafiki ila ukawa na mtu mmoja tu ambaye anakushauri na kukupa namna tofauti ya kulitazama tatizo lakoNaona unatafuta changamoto mpya [emoji23][emoji23].
Piga stor na wanao siku ziende ..
True...Sina watu hawaulizi tu Ila kimoyomoyo wajiuliza he vp kipengle Cha pesa kimeguswa au kitahusika kwenye ibara tajwa ?[emoji2] watoto hawatakiwi kubeba mizigo mikubwa boss,kama mzazi ndo nawapambania ili nitatue changamoto zao na sio wao wabebe zangu .Alafu kila mmoja na namna yake ya kulitazama na kulitatua tatizo .unaweza usiwe na rafiki ila ukawa na mtu mmoja tu ambaye anakushauri na kukupa namna tofauti ya kulitazama tatizo lako
hongera kwa kua mkweli.watu wachache hukiri udhaifu,njia sahih ya kufanikiwaSinaga marafiki ,ila kwasasa kuna ulingo nimeingia naona kabisa nahitaji kupata msaada wa kimawazo ili nisonge mbele.
Marafiki mnaitwa huku