Rafiki kutambulishwa kwa mke/mume/mchumba? IS IT REASONABLE?

wewe msanii sana!mamaaz kidi wewe!unatukimbia kimbia tu
hamna mpwa, dah halafu nilkuona unachomoka na tukutuku pale mlimani city.
unajua mkuu niko tight sana siku hizi, ila hiyo tarehe kwakua ni katikati ya wiki lazima nije, weekends niko bize mzee, shemeji yenu ananibana sanaaaaaa.
hebu ni-PM basi.
 
hamna mpwa, dah halafu nilkuona unachomoka na tukutuku pale mlimani city.
unajua mkuu niko tight sana siku hizi, ila hiyo tarehe kwakua ni katikati ya wiki lazima nije, weekends niko bize mzee, shemeji yako ananibana sanaaaaaa.
hebu ni-PM basi.
muulize x-pin dada ake aliambiwa nini tukiwa sinza last time aliponipigia😀
 

He! Hii kali sana! We ni noma mukulu!
 
Hahaha! Huko nyuma alishawahi japo kukutongoza? Kama ndiyo basi ujue alikuwa anataka kutesti zali kwa mara nyingine.

binamu hajawahi ni rafiki tu wa kiume na ni staili ya mlokole fulani vile
hapo ndo sioni umuhimu tena wa kumtambulisha rafiki wa kiume kwa mwenzangu ..
 
Je ni sahihi rafiki kama huyu kumtambulisha kwa mumeo/mkeo/mchumba? Yaani Carmel amtambulishe Geoff kwa mume wake kuwa huyu ni rafiki yangu. Au Fidel80 amtambulishe nyamayao kwa mkewe kuwa huyu ni rafiki yangu??

Hahahaha dah mpwa usitambulishe ukitambulisha tu na wewe utakuja kutambulishwa Jitu linalo kumegea na ukaambiwa huyu ni binamu si unajua binamu ni nyama ya hamu shauri yako.
 
muulize x-pin dada ake aliambiwa nini tukiwa sinza last time aliponipigia😀

Hahaha! Dada aliambiwa afunge mlango mpaka akisikia tukutuku linapiga breki ndio afungue mlango.
 
muulize x-pin dada ake aliambiwa nini tukiwa sinza last time aliponipigia😀

Niko bize na wapwa na taska! Nikimalizana nao nakuja, nisubiri.
hahahaaaaaaa, mpwa hebu cheki STATUS ya mkuu Geoff, kisha pia cheki SIGNATURE yake halafu niambie, mie sisemi sana.
so anahaki ya kumwambia mai waifu wake hivyo.
 
binamu hajawahi ni rafiki tu wa kiume na ni staili ya mlokole fulani vile
hapo ndo sioni umuhimu tena wa kumtambulisha rafiki wa kiume kwa mwenzangu ..

Si unaona sasa? Ungekuwa umemtambulisha siku nyingi yasingekutokea haya. Ungekuta unamwambia baba nanihii, xpin huyo kaja kutusalimia. naye angeweza kukujibu kirahisi; mi nimechoka bana, acha nilale, msalimie.
 
Si unaona sasa? Ungekuwa umemtambulisha siku nyingi yasingekutokea haya. Ungekuta unamwambia baba nanihii, xpin huyo kaja kutusalimia. naye angeweza kukujibu kirahisi; mi nimechoka bana, acha nilale, msalimie.

hapa umegonga ikulu nimekupa thanks yako bila ajizi
 

Yesuuuuuuuuuuuuuuuuuuu na Mariaaaaaaaaa!! Mungu wa Ibra na Yakubu wasamehe wazima na wafu!!!!!
 
Yesuuuuuuuuuuuuuuuuuuu na Mariaaaaaaaaa!! Mungu wa Ibra na Yakubu wasamehe wazima na wafu!!!!!

Afadhali yangu, festiledi alipeleka kabisa! LOL!
 
ona wife alivoshtukia.....nimependa alivokuintarogeti kimahakama ya geshi....

Tufanye mpango nikakutambulishe wewe. Unajua hakuna kitu kizuri kama practical!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…