Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
Huu uzi wanauona kama kituo cha USAKuna uzi humu unatukanyagia northmen ile mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi wanauona kama kituo cha USAKuna uzi humu unatukanyagia northmen ile mbaya
tuelezee vizuri tuelewe jinsi ulivyopata maduka ma wili kkoo au ulikuwa unapiga winga au dukani kwa huyo mzee
Hata kama mwarabu mwenzake kama unatokea familia ya kawaida hawakusaidiiSio kila uaridi utanukia ushawahi kuwa na rafiki mwarabu mwenye hela hao jamaa kiboko hawanaga msaada kwa mswahili labda uwe mwarabu mwenzake .
Aisee! Hongera sana mkuu. Ni wachache sana wenye moyo wa kuona marafiki zao wanafanikiwa kimaisha. Mungu aendelee kuwabariki sana.Wanajukwaaa wazima nyie.
Kiasili mimi ni mzaliwa kutoka Nyanda za Juu Kusini ndani ya Mkoa flani hivi. Elimu yangu niliipata mkoa wa Kaskazini (Kilimanjaro) kuanzia kidato cha pili hadi Chuo nilisoma kule baada ya maza kupata kazi Kilimanjaro
Nilibahatika kupata Rafiki yangu ambaye amekuwa kama ndugu likizo nilikuwa naenda kwao. Jamaa alikuwa anaishi na mfanyakazi wa ndani baada ya wazazi wake kuhamia Dar-es- Saalam kwao walikuwa wamejenga sana
Likizo fulani nilimualika kwetu akaja, jamaa alishangaa sana Nyumba yetu ilivyokuwa (Low quality) alinichana palepale tukiwa nae kwamba natakiwa nikifanikiwa nijenge Nyumbani na mji wangu
Baada ya kidato cha sita matokeo kutoka tulipata chuo kimoja pale Moshi. Tulivyomaliza mimi nilienda Arusha yeye akaenda Dar-es-Salaa. Baada ya kupotezana miaka miwili nilifanikiwa kukutana nae Dar-es-Salaam, jamaa alikuwa anapush Toyota Harrier ila alinidanganya la Mzee wake.
Jamaa alinipeleka Kimara mtaani kwao alikuwa na maduka mawili ya kwake nilichoka sana miaka miwili amewezaje. Kesho yake akanipeleka Kariakoo nilichoka maduka wanayo matatu moja la Baba yake moja lake moja la viatu vya kike la Dada yake.
Nilipata kuongea na Baba yake nikamweleza mambo yangu ikiwepo suala la kuoa akanishauri nilifute mara moja kwakuwa sijasimama kiuchumi, akanishauri nisirudi mkoa nibaki Dar kukimbizana na mishemishe kweli Baba yule alinipa chumba ndani ya nyumba yao pale Kimara ikawa asubuhi ni kuamka kwenda Kariakoo kukimbizana
Alikuwa ananishauri sana ndani ya mwaka mmoja nihakikishe nimesimama mwenyewe kwani uwezo ninao kwenye biashara nilikuwa sina uzoefu ila kila siku tukirudi home lazima yule mzee aniite tupige hesabu nimepata sh ngapi, kwa siku tukawa na daftari kama tatu moja la kuanzisha duka langu, moja la kununua Kiwanja, moja la kuanza ujenzi
Niliishi maisha ya kutokula bata na ubahili yule mzee alikuwa anatutoa weekend tu maisha yalikuwa magumu nilikuwa nakula kwa macho pisi kali za Kariakoo
Baada ya Miaka miwili nimesimama na nimeanza Ujenzi huku nina Maduka mawili. Hakika ndugu yangu Kimaro umenitoa mbali🙏🏿🙏🏿
Sawa. Sasa nyota yangu inakuwaje kwake?Huyo kashachungulia kaona nyota yake ipo kwako,kuwa care bloangu
Achana nae sio hana ufahamu huyo Buji.Sawa. Sasa nyota yangu inakuwaje kwake?
Asante sana Mrs LissuAtleast kuna vijana jf wanajielewa na mada zao...dah...mostly ni tope mno...hizi ndo mada...hongera kutokua kijana wa hovyo hapa jf
Kitu kibwa sana tunachokikosa sisi vijana wa kiume ni kuwa na wazee wa kiume wenye mafanikio wanaotusimamia mwanzo mwisho wengi wa wazee hawa wamefariki vijana tumebaki tunajitafutia tu maisha bila miongozo.Wanajukwaaa wazima nyie.
Kiasili mimi ni mzaliwa kutoka Nyanda za Juu Kusini ndani ya Mkoa flani hivi. Elimu yangu niliipata mkoa wa Kaskazini (Kilimanjaro) kuanzia kidato cha pili hadi Chuo nilisoma kule baada ya maza kupata kazi Kilimanjaro
Nilibahatika kupata Rafiki yangu ambaye amekuwa kama ndugu likizo nilikuwa naenda kwao. Jamaa alikuwa anaishi na mfanyakazi wa ndani baada ya wazazi wake kuhamia Dar-es- Saalam kwao walikuwa wamejenga sana
Likizo fulani nilimualika kwetu akaja, jamaa alishangaa sana Nyumba yetu ilivyokuwa (Low quality) alinichana palepale tukiwa nae kwamba natakiwa nikifanikiwa nijenge Nyumbani na mji wangu
Baada ya kidato cha sita matokeo kutoka tulipata chuo kimoja pale Moshi. Tulivyomaliza mimi nilienda Arusha yeye akaenda Dar-es-Salaa. Baada ya kupotezana miaka miwili nilifanikiwa kukutana nae Dar-es-Salaam, jamaa alikuwa anapush Toyota Harrier ila alinidanganya la Mzee wake.
Jamaa alinipeleka Kimara mtaani kwao alikuwa na maduka mawili ya kwake nilichoka sana miaka miwili amewezaje. Kesho yake akanipeleka Kariakoo nilichoka maduka wanayo matatu moja la Baba yake moja lake moja la viatu vya kike la Dada yake.
Nilipata kuongea na Baba yake nikamweleza mambo yangu ikiwepo suala la kuoa akanishauri nilifute mara moja kwakuwa sijasimama kiuchumi, akanishauri nisirudi mkoa nibaki Dar kukimbizana na mishemishe kweli Baba yule alinipa chumba ndani ya nyumba yao pale Kimara ikawa asubuhi ni kuamka kwenda Kariakoo kukimbizana
Alikuwa ananishauri sana ndani ya mwaka mmoja nihakikishe nimesimama mwenyewe kwani uwezo ninao kwenye biashara nilikuwa sina uzoefu ila kila siku tukirudi home lazima yule mzee aniite tupige hesabu nimepata sh ngapi, kwa siku tukawa na daftari kama tatu moja la kuanzisha duka langu, moja la kununua Kiwanja, moja la kuanza ujenzi
Niliishi maisha ya kutokula bata na ubahili yule mzee alikuwa anatutoa weekend tu maisha yalikuwa magumu nilikuwa nakula kwa macho pisi kali za Kariakoo
Baada ya Miaka miwili nimesimama na nimeanza Ujenzi huku nina Maduka mawili. Hakika ndugu yangu Kimaro umenitoa mbali🙏🏿🙏🏿
Huyo mzee ni mastermind hao ndio wazee tunatakiwa kujipendekeza kwao inshort alikuwa anakujenga mindsets ya kupambana kwa mwaka mzima..darasa amekupa bure bila malipo na mtaji ukapewa safi sana.Alikuwa ananishauri sana ndani ya mwaka mmoja nihakikishe nimesimama mwenyewe kwani uwezo ninao kwenye biashara nilikuwa sina uzoefu ila kila siku tukirudi home lazima yule mzee aniite tupige hesabu nimepata sh ngapi, kwa siku tukawa na daftari kama tatu moja la kuanzisha duka langu, moja la kununua Kiwanja, moja la kuanza ujenzi
Uongo mtupu!! Wewe asili yako ni mchaga kwa nn unadanganya watu ,eti miaka miwili ushatusua hamna Ukweli..Na inaonekana ni mtu wa Arusha unajitekenya na kucheka[emoji23][emoji23]
We angalia mwaka 2020 alikuwa analina asali kwa story yake angekuwa yuko kweny biashara kabla hajaanza kujisimamia na alifunga jela huyo tambua..ni kwamba story yote ni uongo alipotaka tu kabila .. Maana hata yeye ni mchaga anadanganya.Unafikiri inahitajika miaka mingapi kutusua
wachaga wenye roho nzuri ni wachache mno.
Usikute na wewe huna msaada kwake.Afadhali wewe nina rafiki Mgogo wa kongwa hana msaada wowote wala hana ushauri wa maisha nataka nitemane naye mbwa yule hajielewi pumbavu zake