Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa natafuta hii komenti...ahaa basi sawaChaiiiii
I started the restaurant with a single rice now I have 3 restaurantsNilianza na wezi wawili hivi sasa namiliki gereza
Nimecheka sana 😂😂😂 si umpunguze tu mkuu? Na wee utakua unapenda mtungiYeye muanzisha maada ndio mwenye rafiki mchaga kafanikisha jamaa kutoboa, mimi yule mbwa ni mgogo hajielewi kila saa anashauri tukapige tungi hatuna cha duka wala genge mpuuzi sana yule
Je nawewe una msaada kwake? Au wewe unataka upewe misaada tu kutoka kwake?Afadhali wewe nina rafiki Mgogo wa kongwa hana msaada wowote wala hana ushauri wa maisha nataka nitemane naye mbwa yule hajielewi pumbavu zake
Siyo kweli! Usihukumu usichokijua kama yalikutokea ni wewe siyo wote.Sio kila uaridi utanukia ushawahi kuwa na rafiki mwarabu mwenye hela hao jamaa kiboko hawanaga msaada kwa mswahili labda uwe Mwarabu mwenzake.
Hongera sana. Watu waliofanikiwa ni kama kitabu chenye kurasa nyingi na tamu kuwasoma huna budi. Kipindi fulani nilikuwa napitia changamoto nyingi za kifedha, nikawa naongea na tajiri mmoja akasema "JIFUNZE KUIHESHIMU PESA, KWANGU MIMI HAKUNA PESA KUBWA WALA NDOGO". Kuanzia hapo, financially nikaanza kubadilika. Kwenye kitu pesa, DISCIPLINE ni muhimu Sana.Wanajukwaaa wazima nyie.
Kiasili mimi ni mzaliwa kutoka Nyanda za Juu Kusini ndani ya Mkoa flani hivi. Elimu yangu niliipata mkoa wa Kaskazini (Kilimanjaro) kuanzia kidato cha pili hadi Chuo nilisoma kule baada ya maza kupata kazi Kilimanjaro
Nilibahatika kupata Rafiki yangu ambaye amekuwa kama ndugu likizo nilikuwa naenda kwao. Jamaa alikuwa anaishi na mfanyakazi wa ndani baada ya wazazi wake kuhamia Dar-es- Saalam kwao walikuwa wamejenga sana
Likizo fulani nilimualika kwetu akaja, jamaa alishangaa sana Nyumba yetu ilivyokuwa (Low quality) alinichana palepale tukiwa nae kwamba natakiwa nikifanikiwa nijenge Nyumbani na mji wangu
Baada ya kidato cha sita matokeo kutoka tulipata chuo kimoja pale Moshi. Tulivyomaliza mimi nilienda Arusha yeye akaenda Dar-es-Salaa. Baada ya kupotezana miaka miwili nilifanikiwa kukutana nae Dar-es-Salaam, jamaa alikuwa anapush Toyota Harrier ila alinidanganya la Mzee wake.
Jamaa alinipeleka Kimara mtaani kwao alikuwa na maduka mawili ya kwake nilichoka sana miaka miwili amewezaje. Kesho yake akanipeleka Kariakoo nilichoka maduka wanayo matatu moja la Baba yake moja lake moja la viatu vya kike la Dada yake.
Nilipata kuongea na Baba yake nikamweleza mambo yangu ikiwepo suala la kuoa akanishauri nilifute mara moja kwakuwa sijasimama kiuchumi, akanishauri nisirudi mkoa nibaki Dar kukimbizana na mishemishe kweli Baba yule alinipa chumba ndani ya nyumba yao pale Kimara ikawa asubuhi ni kuamka kwenda Kariakoo kukimbizana
Alikuwa ananishauri sana ndani ya mwaka mmoja nihakikishe nimesimama mwenyewe kwani uwezo ninao kwenye biashara nilikuwa sina uzoefu ila kila siku tukirudi home lazima yule mzee aniite tupige hesabu nimepata sh ngapi, kwa siku tukawa na daftari kama tatu moja la kuanzisha duka langu, moja la kununua Kiwanja, moja la kuanza ujenzi
Niliishi maisha ya kutokula bata na ubahili yule mzee alikuwa anatutoa weekend tu maisha yalikuwa magumu nilikuwa nakula kwa macho pisi kali za Kariakoo
Baada ya Miaka miwili nimesimama na nimeanza Ujenzi huku nina Maduka mawili. Hakika ndugu yangu Kimaro umenitoa mbali🙏🏿🙏🏿
Wachumia tumbo makanisani mkisikia mtu kashika tu visenti basi makario yana anza kuwawasha ...Hongera sana, usisahau kumtolea Mungu shukrani
Wagogo akili zao acha kabisa.Afadhali wewe nina rafiki Mgogo wa kongwa hana msaada wowote wala hana ushauri wa maisha nataka nitemane naye mbwa yule hajielewi pumbavu zake
Ooohoooo mafaili yameanza kufukuliwa.2020 miaka miwili nyuma alikuwa na dili za asali ,mara alikuwa jela .huo mda kapata wapi? Naona vijana mnajitekenya kwamba mna roho nzuri ila behind sio kweli.
Kumbuka ile safari yako ya Arusha kwenda Moshi sijui ,wewe ni mtu wa Arusha sijui jambazi ambaye ulishwai kufungwa ,sasa unaleta porojo.
Sitawasahau Askari wa Wanyama pori
Nakumbuka ilikuwa tarehe 20/5/2020 nikiwa maskani nilikutana na rafiki yangu wa vidato. Tukiwa tunapiga story akaniambia anafanya mishe za kuuza asali na ni biashara inamlipa sana basi kusikia vile na hali yangu ya maisha nikamwomba tupige wote mishe. Jamaa akanikubalia trip ya kwanza ilikuwa...www.jamiiforums.com
Mentors wenyewe sasa anataka akugeuze punda akiona unaanza kuimarika anaingiwa na husuda hataki uondoke anataka uendelee kuwa chini yake akutumie kwa faida yake maana ukiondoka atakosa jembe wa kumtuma.Kitu kibwa sana tunachokikosa sisi vijana wa kiume ni kuwa na wazee wa kiume wenye mafanikio wanaotusimamia mwanzo mwisho wengi wa wazee hawa wamefariki vijana tumebaki tunajitafutia tu maisha bila miongozo.
Pia Kuna umuhimu mkubwa sana haya maisha kuwa na mentors wenye mafanikio.
Pia hongera kwa kupata famili friend wanaokupenda.
Huyo jamaa ni jambazi hana biashara wala mkwaju ni mtu wa Arusha ,yaani ni mvuta bangi kashakaa jela mara kibao.Ooohoooo mafaili yameanza kufukuliwa.
Kwamba wameamua kujisafisha baada ya kuona utapeli wao hauwalipiUongo mtupu!! Wewe asili yako ni mchaga kwa nn unadanganya watu ,eti miaka miwili ushatusua hamna Ukweli..Na inaonekana ni mtu wa Arusha unajitekenya na kucheka😂😂
Kwamba wameamua kujisafisha baada ya kuona utapeli wao hauwalipi
Inabidi ukaoe kwenye ukoo huo huo upate mbegu za biashara.Wanajukwaaa wazima nyie.
Kiasili mimi ni mzaliwa kutoka Nyanda za Juu Kusini ndani ya Mkoa flani hivi. Elimu yangu niliipata mkoa wa Kaskazini (Kilimanjaro) kuanzia kidato cha pili hadi Chuo nilisoma kule baada ya maza kupata kazi Kilimanjaro
Nilibahatika kupata Rafiki yangu ambaye amekuwa kama ndugu likizo nilikuwa naenda kwao. Jamaa alikuwa anaishi na mfanyakazi wa ndani baada ya wazazi wake kuhamia Dar-es- Saalam kwao walikuwa wamejenga sana
Likizo fulani nilimualika kwetu akaja, jamaa alishangaa sana Nyumba yetu ilivyokuwa (Low quality) alinichana palepale tukiwa nae kwamba natakiwa nikifanikiwa nijenge Nyumbani na mji wangu
Baada ya kidato cha sita matokeo kutoka tulipata chuo kimoja pale Moshi. Tulivyomaliza mimi nilienda Arusha yeye akaenda Dar-es-Salaa. Baada ya kupotezana miaka miwili nilifanikiwa kukutana nae Dar-es-Salaam, jamaa alikuwa anapush Toyota Harrier ila alinidanganya la Mzee wake.
Jamaa alinipeleka Kimara mtaani kwao alikuwa na maduka mawili ya kwake nilichoka sana miaka miwili amewezaje. Kesho yake akanipeleka Kariakoo nilichoka maduka wanayo matatu moja la Baba yake moja lake moja la viatu vya kike la Dada yake.
Nilipata kuongea na Baba yake nikamweleza mambo yangu ikiwepo suala la kuoa akanishauri nilifute mara moja kwakuwa sijasimama kiuchumi, akanishauri nisirudi mkoa nibaki Dar kukimbizana na mishemishe kweli Baba yule alinipa chumba ndani ya nyumba yao pale Kimara ikawa asubuhi ni kuamka kwenda Kariakoo kukimbizana
Alikuwa ananishauri sana ndani ya mwaka mmoja nihakikishe nimesimama mwenyewe kwani uwezo ninao kwenye biashara nilikuwa sina uzoefu ila kila siku tukirudi home lazima yule mzee aniite tupige hesabu nimepata sh ngapi, kwa siku tukawa na daftari kama tatu moja la kuanzisha duka langu, moja la kununua Kiwanja, moja la kuanza ujenzi
Niliishi maisha ya kutokula bata na ubahili yule mzee alikuwa anatutoa weekend tu maisha yalikuwa magumu nilikuwa nakula kwa macho pisi kali za Kariakoo
Baada ya Miaka miwili nimesimama na nimeanza Ujenzi huku nina Maduka mawili. Hakika ndugu yangu Kimaro umenitoa mbali🙏🏿🙏🏿
Imebidi nicheke mnoooo. Kama ni kweli basi ni balaa zito.Huyo jamaa ni jambazi hana biashara wala mkwaju ni mtu wa Arusha ,yaani ni mvuta bangi kashakaa jela mara kibao.
Mungu kafanyeje wwHongera sana, usisahau kumtolea Mungu shukrani