Rafiki yangu alivyonishika mkono hadi kufanikiwa

Yeye muanzisha maada ndio mwenye rafiki mchaga kafanikisha jamaa kutoboa, mimi yule mbwa ni mgogo hajielewi kila saa anashauri tukapige tungi hatuna cha duka wala genge mpuuzi sana yule
Nimecheka sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ si umpunguze tu mkuu? Na wee utakua unapenda mtungi
 
Afadhali wewe nina rafiki Mgogo wa kongwa hana msaada wowote wala hana ushauri wa maisha nataka nitemane naye mbwa yule hajielewi pumbavu zake
Je nawewe una msaada kwake? Au wewe unataka upewe misaada tu kutoka kwake?
 
Sio kila uaridi utanukia ushawahi kuwa na rafiki mwarabu mwenye hela hao jamaa kiboko hawanaga msaada kwa mswahili labda uwe Mwarabu mwenzake.
Siyo kweli! Usihukumu usichokijua kama yalikutokea ni wewe siyo wote.
Acha chuki tafuta pesa tu.
 
Hongera sana. Watu waliofanikiwa ni kama kitabu chenye kurasa nyingi na tamu kuwasoma huna budi. Kipindi fulani nilikuwa napitia changamoto nyingi za kifedha, nikawa naongea na tajiri mmoja akasema "JIFUNZE KUIHESHIMU PESA, KWANGU MIMI HAKUNA PESA KUBWA WALA NDOGO". Kuanzia hapo, financially nikaanza kubadilika. Kwenye kitu pesa, DISCIPLINE ni muhimu Sana.
 
Afadhali wewe nina rafiki Mgogo wa kongwa hana msaada wowote wala hana ushauri wa maisha nataka nitemane naye mbwa yule hajielewi pumbavu zake
Wagogo akili zao acha kabisa.
 
Ooohoooo mafaili yameanza kufukuliwa.
 
Mentors wenyewe sasa anataka akugeuze punda akiona unaanza kuimarika anaingiwa na husuda hataki uondoke anataka uendelee kuwa chini yake akutumie kwa faida yake maana ukiondoka atakosa jembe wa kumtuma.

Mzazi wako hawezi kuwa hivyo atataka utoboe akijua utakuja kuwa msaada wake. Sasa shida ndipo ipo hapo.
 
Inabidi ukaoe kwenye ukoo huo huo upate mbegu za biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ