Anataka kubebwa hadi ukubwani!
Afadhali huyo, kuna mmoja aliwekewa pilipili kwenye maji ya kuogaBora yake kuna mmoja aliwekewa pilipili kwenye chai.
[emoji16][emoji16]Kongole kwa maza, nipe location nimtumie pilipili za India amuwekee hadi kwenye shuka analolalia.
Hahahahahahahaa kwa kuondoa stress za Bi Kidude bonyeza JfKuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.
Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.
Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.