Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Yaani nimesoma heading tu, nimecheka sana....🤣Aisee 😃😃😃🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani nimesoma heading tu, nimecheka sana....🤣Aisee 😃😃😃🤔
sawa sasa kwanini useme hakuna mwanamke asiye mtakia mema mwanaeNa wanaume wote hawako sawa kama ilivyo kwa wanawake. Cha muhimu ni kuamrishana mema na kukatazana mabaya lakini siyo kuanza kukamatana uchawi.
Hilo ndiyo ukweli, hakuna mama anaezaa, akalea mpaka mtoto anakuwa mtu mzima anaanza kujitegemea halafu leo mama awe mbaya. Haiingii akilini.sawa sasa kwanini useme hakuna mwanamke asiye mtakia mema mwanae
Laiti angejua umuhimu wake angemwambia amwekee mpaka kwenye maji ya kunywaHis mother is helping him to increase power of men