Rafiki yangu anakaa kwao, analalamika pilipili inawekwa mpaka kwenye ugali

Rafiki yangu anakaa kwao, analalamika pilipili inawekwa mpaka kwenye ugali

Kuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.

Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.

Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.
[emoji23][emoji23]
 
Pilipili kwenye chakula analalamika?
sisi kwetu pilipili ilikua ni kiungo muhimu sana kwenye vyakula
iwe shiro/makukuru/kiburu/mtori na mboga zingine zote unazozijua hadi samaki wa kurumangia anapigwa pilipili kama kiwi kwenye viatu.
na hapo haijalishi umri yaani kuanzia miaka mitatu kwenda juu ni mwendo wa ukanjibai tu
R.I.P MAMA.
Duuh,taifodi hapo hakuna na minyoo!
 
akufukuzaye hakwambii toka afadhali yeye wengine walikuwa wakimega tonge tu wanataka kuchovya kwenye mboga bakuli linasogezwa...ajiongeze tu asepe akapambane na pilika za mtaa awe mwanaume kamili mizazi kama hiyo ukishatoka nyumbani ukatokomea kusiko julikana hayachelewi kulalamika oh mwanangu hani jali,wazazi mtoto anapokuwa mkubwa unataka akapambane ajitegemee usijenge visa naye we mwambie tu mwanangu umekua inatakiwa upambane ujitegemee ukapange maana umekua tayali,unamnyanyasa mtoto anatoka kwako na roho ya kisasi huwezi muona kwako tena maana mshakuwa maadui
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

JF nje ya mada za chuki za wasiompenda Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, inapendeza sana!!
 
Mama kaona huna mchango wowote pamoja na kubeba tofari
jamaa anasapot kikamilifu majukum apo kwao haomb kitu kwa mzaz maana tunapiga naye tofar sema mama yake sijui ana maana gan
 
na bado, itawekwa hadi kwenye maji ya chooni,kwenye tissue,maji ya kunywa, akijisahau tutaweka hadi kwenye boxer zake daadeki 😀 😀 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom