Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa wahindi haoKuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.
Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.
Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.
jamaa anahisi mama yake anazeeka vibaya.mama yake ana miaka 69Mwambie akampime DNA uenda sio mama yake mzazi
Usije kumuamini kiumbe anayeitwa bin-Adam! Narudia tena kwa herufi kubwa "TRUST NO BODY!" nimemalizaMkuu umeamua kutema yai tu kila mahali [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Mkuu kakufanyajee Mkuu?😂😂Usije kumuamini kiumbe anayeitwa bin-Adam! Narudia tena kwa herufi kubwa "TRUST NO BODY!" nimemaliza
Dah 🤣🤣Mpaka anamaliza kukuhadithia ukufanikiwa kumlamba hata mtama ama kofi..na kama amemaliza story yote bila kufanya hivyo viwili wewe una uvumilivu sana.
Akufukuzaye hakwambii toka!Kuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.
Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.
Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.
Mwambie asiondoke awakomeshe wale pilipili mpaka nao wakome.Kuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.
Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.
Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.
na kusahihisha tu mkuu hakuna mtu mbaya duniani kama mwanamke, wanaotoa kila siku mimba au kuloga watoto wao wa kuwazaa wanatoka sayali gani?Pilipili ni dawa kubwa sana, huyo kijana haelewi. Usishindane na mama, hakuna mama anayemtakia mabaya mwanawe.
Na mjinga zaidi ni yule aliyeoa mke namna hiyo.na kusahihisha tu mkuu hakuna mtu mbaya duniani kama mwanamke, wanaotoa kila siku mimba au kuloga watoto wao wa kuwazaa wanatoka sayali gani?
🙂 🙂 🙂 tupo wanaume kamili ambao hatuteteleshwi na mwanamke yeyote .najua wewe ni mama mwema na bora,kwa wema na ubora ulionao usifikiri wamama wote duniani wako hivyoNa mjinga zaidi ni yule aliyeoa mke namna hiyo.
Hapo hujanisahihisha bali umekiri kuwa "mwanamme hana ujanja mbele ya mwanamke".
Na wanaume wote hawako sawa kama ilivyo kwa wanawake. Cha muhimu ni kuamrishana mema na kukatazana mabaya lakini siyo kuanza kukamatana uchawi.🙂 🙂 🙂 tupo wanaume kamili ambao hatuteteleshwi na mwanamke yeyote .najua wewe ni mama mwema na bora,kwa wema na ubora ulionao usifikiri wamama wote duniani wako hivyo
Aanze kumla dada wa kazi.Kuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.
Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.
Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.
Maza hajataka kumkosea heshima mwamba, anatumia ustaarabu.Kuna rafiki yangu tunabeba tofarik wote hapa saiti; analalamika anakaa kwao, mama yake anamuambia dada wa kazi kuweka pilipili kila sehemu.
Pilipili mpaka kwenye ugal sasa mhuni pilipili inamshinda ila mama mzazi anasema ni nzuri na hana mpango kuipunguza na tabia anasema imeanza ina kama miez 3.
Sasa mwendo pilipili kal kila sehem ugal mpka mboga. Mwamba anaomba ushauri mama yake ana maana gani; yaan pilipili mwanzo mwenga. Kila sehemu kama vina vya wimbo kwa ufupi wamekua familia ya Kihindi.