Rafiki yangu anakaa kwao, analalamika pilipili inawekwa mpaka kwenye ugali

[emoji23][emoji23]
 
Duuh,taifodi hapo hakuna na minyoo!
 
akufukuzaye hakwambii toka afadhali yeye wengine walikuwa wakimega tonge tu wanataka kuchovya kwenye mboga bakuli linasogezwa...ajiongeze tu asepe akapambane na pilika za mtaa awe mwanaume kamili mizazi kama hiyo ukishatoka nyumbani ukatokomea kusiko julikana hayachelewi kulalamika oh mwanangu hani jali,wazazi mtoto anapokuwa mkubwa unataka akapambane ajitegemee usijenge visa naye we mwambie tu mwanangu umekua inatakiwa upambane ujitegemee ukapange maana umekua tayali,unamnyanyasa mtoto anatoka kwako na roho ya kisasi huwezi muona kwako tena maana mshakuwa maadui
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

JF nje ya mada za chuki za wasiompenda Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, inapendeza sana!!
 
Mama kaona huna mchango wowote pamoja na kubeba tofari
jamaa anasapot kikamilifu majukum apo kwao haomb kitu kwa mzaz maana tunapiga naye tofar sema mama yake sijui ana maana gan
 
na bado, itawekwa hadi kwenye maji ya chooni,kwenye tissue,maji ya kunywa, akijisahau tutaweka hadi kwenye boxer zake daadeki πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Mpaka anamaliza kukuhadithia ukufanikiwa kumlamba hata mtama ama kofi..na kama amemaliza story yote bila kufanya hivyo viwili wewe una uvumilivu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…