Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Atafute msaada wa kiroho aende kanisani/msikitini au hakutane na mtumishi au shekh kulingana na dini yake pia ajitahidi kuomba kabla hajalala kujikinga na vitu vibaya.
 
Atafute msaada wa kiroho aende kanisani/msikitini au hakutane na mtumishi au shekh kulingana na dini yake pia ajitahidi kuomba kabla hajalala kujikinga na vitu vibaya.
Asante sana kwa ushauri
 
Chukua hii ya kiuzoefu

Kukosa hamu ya kufanya mapenzi Kuna tokana na kutumia au kufanya mapenzi kwa mda mlefu na mwana mke mmoja hii iñachangiazaidi mkuu hivyo ajaribu kuchanganya mboga

Na kuota anafanya mapenzi hii inatokana na mtu huyo kuwaza Sana Mambo haya hasa kutazama xxx vds for too long kwani Mara nyingi unacho kiota ni kumbu kumbu tu ya kile unacho kiwaza au kukifanya Mara kwa mara

Hivyo atafute mbadara wa kitu Cha kuwaza au kukifanya Mara kwa mara
 
Haoni kwamba amepata bahati na afua ya maisha?Hana haja ya kumpenda mtu,kumuoa wala kuhonga achilia mbali kufanya majukumu ya kulea familia.Mpongeze.Mwambie kazi iendelee na jini mahaba.
 
Naam, koment.. ntashauri ajaribu kuzingatia upande huu pia
 
Kukosa elimu ndogo ndogo ni mbaya Sana, yaani vijini vijini vinawasumbua, sisi human wenye kila intelegency, shame!,
-Nunua indi kavu, lichome liive, kila jioni tafuna ukiwa chooni, kwa siku tatu, atakimbia na nyuma asigeuke, endapo atakuwa sugu, changanya indi lako na ulevi mweusi, tafuna.
 
 
indi ×
hindi =
UVCCM/CHIPUKIZI hamfundishwi kiswahili kizuri.
 
Jini mahaba ukilipata unatakiwa ulifre nakuhakikishia halitorudi tena.
 
Hakunaga vitu kama hivi sijui jini mahaba sijui popobawa. Ni story tu za vijiweni na mabarazani kupoteza muda na kusogeza siku watu wakishashiba kande na kuvimbiwa.

Msingi wa maisha ni kufanya kazi.
Acha ubishi vitu vingine muwage mnauliza na muwage tayari kujifunza sio kila kitu Tu mnabisha binaadamu sijui mkoje
 
Uongo usibishe naheshimu michango yako mingi humu jukwaani lakini katika hili umeongopa au labda haujawahi kuexperiance hicho kitu ,

Tena usiombe ya kukute inatisha ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…