Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Atafute msaada wa kiroho aende kanisani/msikitini au hakutane na mtumishi au shekh kulingana na dini yake pia ajitahidi kuomba kabla hajalala kujikinga na vitu vibaya.
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Chukua hii ya kiuzoefu

Kukosa hamu ya kufanya mapenzi Kuna tokana na kutumia au kufanya mapenzi kwa mda mlefu na mwana mke mmoja hii iñachangiazaidi mkuu hivyo ajaribu kuchanganya mboga

Na kuota anafanya mapenzi hii inatokana na mtu huyo kuwaza Sana Mambo haya hasa kutazama xxx vds for too long kwani Mara nyingi unacho kiota ni kumbu kumbu tu ya kile unacho kiwaza au kukifanya Mara kwa mara

Hivyo atafute mbadara wa kitu Cha kuwaza au kukifanya Mara kwa mara
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Haoni kwamba amepata bahati na afua ya maisha?Hana haja ya kumpenda mtu,kumuoa wala kuhonga achilia mbali kufanya majukumu ya kulea familia.Mpongeze.Mwambie kazi iendelee na jini mahaba.
 
Chukua hii ya kiuzoefu

Kukosa hamu ya kufanya mapenzi Kuna tokana na kutumia au kufanya mapenzi kwa mda mlefu na mwana mke mmoja hii iñachangiazaidi mkuu hivyo ajaribu kuchanganya mboga

Na kuota anafanya mapenzi hii inatokana na mtu huyo kuwaza Sana Mambo haya hasa kutazama xxx vds for too long kwani Mara nyingi unacho kiota ni kumbu kumbu tu ya kile unacho kiwaza au kukifanya Mara kwa mara

Hivyo atafute mbadara wa kitu Cha kuwaza au kukifanya Mara kwa mara
Naam, koment.. ntashauri ajaribu kuzingatia upande huu pia
 
Kukosa elimu ndogo ndogo ni mbaya Sana, yaani vijini vijini vinawasumbua, sisi human wenye kila intelegency, shame!,
-Nunua indi kavu, lichome liive, kila jioni tafuna ukiwa chooni, kwa siku tatu, atakimbia na nyuma asigeuke, endapo atakuwa sugu, changanya indi lako na ulevi mweusi, tafuna.
 
Ameoa ktk ulimwengu wa roho tayari,anapofanya mapenzi ndotoni anafanya mapenzi na jini,ambaye ni mke wake halali(spiritual wife).

Kushindwa kufanya mapenzi na mke wake wa mwili,ni wivu wa jini mahaba,mwanaume asiweze ku-sex na mwanamke yeyote wa mwili ila a-sex na jini huyo tu.

Anatakiwa kufutiwa mashtaka(sexual sin) yaliyompa jini mahaba uhalali wa kum'miliki.

Mashtaka hayo yanafutwa kwa damu ya yesu tu,yesu anakununua kutoka kwenye huo utumwa wa jini mahaba kwa damu yake.Kanuni ya
Mungu,sadaka ya dhambi ni damu na sasa tunatumia damu ya Yesu kufutiwa mashtaka.

Nenda kwa mtumishi wa Mungu mwenye nguvu za Mungu(i recommend Mwamposa).

Tofauti na hivyo utasumbuka sana,maana jini huyu msumbufu hatari.
 
Kukosa elimu ndogo ndogo ni mbaya Sana, yaani vijini vijini vinawasumbua, sisi human wenye kila intelegency, shame!,
-Nunua indi kavu, lichome liive, kila jioni tafuna ukiwa chooni, kwa siku tatu, atakimbia na nyuma asigeuke, endapo atakuwa sugu, changanya indi lako na ulevi mweusi, tafuna.
indi ×
hindi =
UVCCM/CHIPUKIZI hamfundishwi kiswahili kizuri.
 
Jini mahaba ukilipata unatakiwa ulifre nakuhakikishia halitorudi tena.
 
Hakunaga vitu kama hivi sijui jini mahaba sijui popobawa. Ni story tu za vijiweni na mabarazani kupoteza muda na kusogeza siku watu wakishashiba kande na kuvimbiwa.

Msingi wa maisha ni kufanya kazi.
Acha ubishi vitu vingine muwage mnauliza na muwage tayari kujifunza sio kila kitu Tu mnabisha binaadamu sijui mkoje
 
Hakunaga kitu kinaitwa jini mahaba, ashughulikie mambo mengine ya kisaikolojia.

Kuota unafanya mapenzi ni kawaida tu, kuishiwa hamu ya tendo ni kawaida na pia kuingia kitandani na mwanamke ngoma isisimame pia ni kawaida.

Mimi yaliyashanitokea hayo, na yanaendelea kunitokea, na wanaume asilimia 90 yalishawatokea.

Stori za majini mahaba, maimuna sijui jini makata hazina uthibitisho wowote.
Uongo usibishe naheshimu michango yako mingi humu jukwaani lakini katika hili umeongopa au labda haujawahi kuexperiance hicho kitu ,

Tena usiombe ya kukute inatisha ,
 
Back
Top Bottom