Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

 
Kuna jamaa akauliza hapo juu kuwa yaani wewe na jamaa hamjui cha kufanya. Yaani uanaume huna yaani ni sawa unaziona dhahabu mbele yako unakuja kuulizia kuwa ufanyeje..duu yaani bana so wewe huna inner directive compass
 
Sehemu nzuri ya kuukiza hili ni Kwa msela mwenyewe Km atasepa na kufanya mengine or kuendelea alee watoto wa masela.
Pili aende Kwa mchungaji/sheikh anapotaka kufanyia ndoa,kueleza mambo yalivyo I think hapa atapata jibu zuri sana tena mno.
Tatu,gharama zinatibika ila donda km hilo halitaleta uaminifu ndani hata kidogo,usishangae wafunge ndoa and hakuna kufanya mapenzi.
 
Kuna jamaa akauliza hapo juu kuwa yaani wewe na jamaa hamjui cha kufanya. Yaani uanaume huna yaani ni sawa unaziona dhahabu mbele yako unakuja kuulizia kuwa ufanyeje..duu yaani bana so wewe huna inner directive compass
Jamaa alitaka kuzisambaza video mitandaoni na kudeal na yule jamaa yetu but sheria iko wazi-cybercrime
 
Mimi nakumbuka mtu wangu Baada ya kuachana naye miezi miwili baadae Rafiki alianza kuniletea taarifa B hivi unajua ex wako ana mabwana wawili Sasa mmoja dodoma mmoja dsm jirani yake 🤔nilishangaa sana mbona wakati Niko nae sikuwah kuona hzo tabia ikanifunza

Kuna watu wanaficha mkuu
 
😅Dah jamii forum Ina watu na viatu kweli Sasa sikia mkuu dhumuni la kuleta uzi ni kushare mawazo, lakini pia kukumbushana haya mambo yapo

Kwahyo mimi solution yangu kwake
1.ilikuwa ni aongee na watu wazima aghairi
Basi
Infact ukiwaita watahumiwa mmoja anaweza Ata kujiua kukwepa aibu you never know kwo lazima busara kubwa itumike
 
Kataa ndoa Bro
 
Kama sio chai bhas Gharama kubwa ni yeye kukubali kufunga ndoa na huyo mwanamke sio pesa alizotumia...! Hata akaambiwa leo alipiwe kila kitu wafunge ndoa akataee.
 
Ashukuru kupata Mke mwenye uzoefu wa KAZI.
 
He should call it quits !!! Unless he is thinking narrowly !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…