Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
Wapo wengi sana mkuu!!Mkuu binti gani anakubali kuolewa under 25 hapa bongo??
Wapo wengi sana mkuu!!
Sehemu nzuri ya kuukiza hili ni Kwa msela mwenyewe Km atasepa na kufanya mengine or kuendelea alee watoto wa masela.Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Jamaa alitaka kuzisambaza video mitandaoni na kudeal na yule jamaa yetu but sheria iko wazi-cybercrimeKuna jamaa akauliza hapo juu kuwa yaani wewe na jamaa hamjui cha kufanya. Yaani uanaume huna yaani ni sawa unaziona dhahabu mbele yako unakuja kuulizia kuwa ufanyeje..duu yaani bana so wewe huna inner directive compass
Mimi nakumbuka mtu wangu Baada ya kuachana naye miezi miwili baadae Rafiki alianza kuniletea taarifa B hivi unajua ex wako ana mabwana wawili Sasa mmoja dodoma mmoja dsm jirani yake 🤔nilishangaa sana mbona wakati Niko nae sikuwah kuona hzo tabia ikanifunzaSehemu nzuri ya kuukiza hili ni Kwa msela mwenyewe Km atasepa na kufanya mengine or kuendelea alee watoto wa masela.
Pili aende Kwa mchungaji/sheikh anapotaka kufanyia ndoa,kueleza mambo yalivyo I think hapa atapata jibu zuri sana tena mno.
Tatu,gharama zinatibika ila donda km hilo halitaleta uaminifu ndani hata kidogo,usishangae wafunge ndoa and hakuna kufanya mapenzi.
😅Dah jamii forum Ina watu na viatu kweli Sasa sikia mkuu dhumuni la kuleta uzi ni kushare mawazo, lakini pia kukumbushana haya mambo yapoWewe na jamaa yako wote vitobo tuu pumbavu!!!
Hivi nyie wavulana mmekuzwaje kila kitu mnaomba ushauri hivyo vichwa mmebeba kama HELMET??!!!Na hapo ukute wazazi waliuza ng'ombe wakasomesha ng'ombe hizi mbili ENGLISH MEDIUM na chuo mkafika ila bado hamna akili.
#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!!
Kataa ndoa BroRafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Mnaokotaga wapi hao malaya Chief?
Au sio😁mshukuru sana aliyekutumia hio video.
Mwambieni Mwachiluwi awapigie kitimoto na chapati za kukunja mjipongeze..
msisahau Kvant na Konyagi..
Ashukuru kupata Mke mwenye uzoefu wa KAZI.Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Una dhambi afsaAshukuru kupata Mke mwenye uzoefu wa KAZI.
He should call it quits !!! Unless he is thinking narrowly !!