Asiache kuoa andelee na process maana tayari huyo demu atakuwa na experience za kutosha kutoka kwa wanaume mbalimbali na rika mbalimbali.
Aachane na sherehe aangalie namna nyingine ya kupata anaejielewaRafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Fantastic adviceNgarama za amani ya Moyo ni kubwa kuliko Gharama yoyote Maishani.
Mshauri asiangalie gharama alizotumia kama kigezo cha kuoa sehemu ambayo hatokuwa na amani. Ndoa ni mtego mbaya awe makini
ChaiRafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Huu ndio ustaarabu amwambie mshenga wamalizane kistaarabu ni aibu ya muda ila yatapita tuHapo atume mshenga akawaambie wazazi kuwa kijana ameahirisha kuoa kwa sababu fulani then utaratibu wa kurudishiwa chenji ufuate
Kweli mkuuHuu ndio ustaarabu amwambie mshenga wamalizane kistaarabu ni aibu ya muda ila yatapita tu
Sema km walichangisha watu inakuwajeKweli mkuu
Yes hii ndio komesha afanye surprise with Deadly comeback!Aendelee na harusi ila siku ya sherehe ukumbini a play hiyo clip.
Kwa kuwa sherehe bado wawarudishie hela zaoSema km walichangisha watu inakuwaje
KabisaKwa kuwa sherehe bado wawarudishie hela zao
Hapo atume mshenga akawaambie wazazi kuwa kijana ameahirisha kuoa kwa sababu fulani then utaratibu wa kurudishiwa chenji ufuate
33Umri wa muoaji tafadhali
Sababu itwaje kwa wazazi kwamba binti alidhini na mwingineFuata ushauri huu
Ni wewe mwenyewe'nini mkuu, unataka kutushake medula oblongata zetu?Rafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Hilo nalo neno. Nimeona takribani mara tatu mtu kumbwaga mchumba siku ya harusi ama Altareni kabisa.Hasara roho oesa inatafutwa.
Huyi mwana wala asihairishe hilo jambo. Atulie kimya...mwanamke anabwagwa hadharani ili aibuki vizuri
Hapo ndio lakufanya....hamna kusitisha wala nini kila kitu kinaendelea last day wee huyoooo unaenda zako mamtoni.Ni wewe mwenyewe'nini mkuu, unataka kutushake medula oblongata zetu?
Hilo nalo neno. Nimeona takribani mara tatu mtu kumbwaga mchumba siku ya harusi ama Altareni kabisa.
Yaani maandalizi yamefanyika kila kitu, ubwabwa, ukumbi na kadi za michango zimetembea kishenzi, halafu siku ya ndoa jamaa nd'oanasafiri kudadeki.