Rafiki yangu juma amebadili jina, sasa hivi anajiita Yekonia kisa mfungo

Rafiki yangu juma amebadili jina, sasa hivi anajiita Yekonia kisa mfungo

Hayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.

Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.


Ni hayo
Badaye ka kwambia uje utuambie au wewe umejituma tu kuja na umbeya wakike.
 
Watu hawamuogopi Mungu anayeona yaliyo ndani wanaogopa macho ya watu wenye dhambi kama wao walioamua kufanya unafiki kwa kigezo cha ibada.

Maana hata hao wanaofunga wakipiga piga miayo hadharani na kujikausha midomo siyo wote wanafunga kuomba kuomba toba ya kweli wengine wanafanya hivyo kujionyesha.
 
Tunafunga basi tuu ila in seriously show kali wakuu..
Kama leo mimi sijui if ntatoboa an naona kabisa siku ishazingua aiseee..

Kiu sio kiu
Njaa sio njaaa
An matatizo matupu..

Why kuna kufunga jamn🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
 
Tunafunga basi tuu ila in seriously show kali wakuu..
Kama leo mimi sijui if ntatoboa an naona kabisa siku ishazingua aiseee..

Kiu sio kiu
Njaa sio njaaa
An matatizo matupu..

Why kuna kufunga jamn🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Mkuu leo lazima ukome ubishi😂😅
 
Tunafunga basi tuu ila in seriously show kali wakuu..
Kama leo mimi sijui if ntatoboa an naona kabisa siku ishazingua aiseee..

Kiu sio kiu
Njaa sio njaaa
An matatizo matupu..

Why kuna kufunga jamn🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Acha fanya toba kwa njia nyengine.

Usijekuwa una matatizo ya kiafya ukazidi kujitia ubovu na hivi wabongo wengi hatujazoea ku-check afya zetu mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom