Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mkuu acha tuu mi leo baada ya hapa takua nafunga kisili siriMkuu leo lazima ukome ubishi😂😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha tuu mi leo baada ya hapa takua nafunga kisili siriMkuu leo lazima ukome ubishi😂😅
Ati??ULizia wenye guest na kitimoto wanavyoteseka mwezi huu
Hapana sina tatizo kiafya ni uvivu tu wa kushinda njaa...Acha fanya toba kwa njia nyengine.
Usijekuwa una matatizo ya kiafya ukazidi kujitia ubovu na hivi wabongo wengi hatujazoea ku-check afya zetu mara kwa mara.
Hata mimi nitakuwa nafungua kwa siri.Mkuu acha tuu mi leo baada ya hapa takua nafunga kisili siri
Yaaan nikiingia ghetto nagida maji yangu kisiri siri kimya kimya...Hata mimi nitakuwa nafungua kwa siri.
Mimi nina misimammo na facts nyingi kuhusu Mufti, lakini ni nje ya muktadha wa mazungumzo yako.Kweli mkuu umenifumbua macho. Yule jamaa akiwa mufti atatupotosha.
Njaa na matani ni vitu viwili ambavyo havifanana.Yaaan nikiingia ghetto nagida maji yangu kisiri siri kimya kimya...
Maana kama tunataniana hv
Mkuu mpka sasa naona kabisa naenda kuzimaNjaa na matani ni vitu viwili ambavyo havifanana.
kama hujui maana ya kufunga kwanini ufuate mkumbo?Tunafunga basi tuu ila in seriously show kali wakuu..
Kama leo mimi sijui if ntatoboa an naona kabisa siku ishazingua aiseee..
Kiu sio kiu
Njaa sio njaaa
An matatizo matupu..
Why kuna kufunga jamn🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Mkuu tupe hizo facts ili nasi tutoke katika giza nene.Mimi nina misimammo na facts nyingi kuhusu Mufti, lakini ni nje ya muktadha wa mazungumzo yako.
Kwahyo nisifate dini..?kama hujui maana ya kufunga kwanini ufuate mkumbo?
Hahaha 😂Mkuu mpka sasa naona kabisa naenda kuzima
Mkuu njaaaHahaha 😂
Graph zimeenda chini 😂ULizia wenye guest na kitimoto wanavyoteseka mwezi huu
Mkuu kaza. Najua inauma ila inabidi uzoee.Mkuu njaaa
Fact ya kwanza, ma Mufti wote waongo. By definition.Mkuu tupe hizo facts ili nasi tutoke katika giza nene.
Kwani dini imeuzungumziaje mfungo? imelazimisha wote mfunge?Kwahyo nisifate dini..?
Kwa hiyo mbuzi katoliki sasa hivi hawachinjwi kwa wingi.Graph zimeenda chini 😂
Hahaha 😂Fact ya kwanza, ma Mufti wote waongo. By definition.
Mkuu hiki chungu cha ngapi weweKwani dini imeuzungumziaje mfungo? imelazimisha wote mfunge?