Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Mstari wa ngapi na sura ganiQuran tukufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mstari wa ngapi na sura ganiQuran tukufu
Kivyao, mimi nihangaike nao kwani wananisumbua nini?SEMA KUNA WATU WANATAPATAPA SANA, HUKU WANADAI AKINA JUMA MWEZI HUU WAMEJIGEUZA MAJINA KUJIITA MAJINA YA KIKIKRISTU.
KWINGINE WANALALAMIKIA NYAMA ZA NGURUWE KUDODA MWEZI HUU.
Hehehe"Si ndo nakutana na Shabani namjua,
Namsalimia Shebby ameuchubua,
Shebby Anasuasua,
Au I'm not sure,
Kumbe huku anakwenda kama Pastor Joshua"
Mkuu leo hali imekua mbaya zaidi mpka nahisi kufaUtamaliza hata kumi la kwanza wewe?
Kwahyo sisi tunaofanya machizi sio 🥺🥺🥺😁😁Sifanyagi Mazoezi Ya Kushinda Njaa
Aiseee kama pepo ndo.ngumu hv wakuuu aaaaah ...Ndiooo UJUE kuna jehanum na mbinguni
Mkuu leo hali imekuwa mbaya zaidi mpaka nahisi kufa
Wala Hakuna Uchizi Sema Kila Mmoja Na LwakeKwahyo sisi tunaofanya machizi sio 🥺🥺🥺😁😁
Mkuu mbagala jua kali .Pole sana, na jua lilivyo kali sasa. Jitahidi umalizie siku
Hahaha 😂 Mkuu vumilia usichoke.Mkuu leo hali imekua mbaya zaidi mpka nahisi kufa
Jua kali kila mahali aisee jumlisha na vumbi ni balaa tupu, vumilia tuMkuu mbagala jua kali .
Mkuu mbagala jua kali
Mkuu hii ni hatarrrr usipokua makini unaweza anguka mbele za watu
Unafungia nini sasa!Mkuu leo hali imekua mbaya zaidi mpka nahisi kufa
Mi jamaa yangu anajiita immanuel kitomoto anakula hatariHayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.
Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.
Ni hayo
Duniani kuna mambo....Mi jamaa yangu anajiita immanuel kitomoto anakula hatari