Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
mkuu mimi situmii vyungu mbonaMkuu hiki chungu cha ngapi wewe
...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mimi situmii vyungu mbonaMkuu hiki chungu cha ngapi wewe
...?
Na Huu Mwanga Mkali Mnoo Wa Hili Jua Si Mchezo,Kwenda Mbinguni Kugumu Mnoo Ndugu Wananchi Wenzangu Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa TanzaniaTunafunga basi tuu ila in seriously show kali wakuu..
Kama leo mimi sijui if ntatoboa an naona kabisa siku ishazingua aiseee..
Kiu sio kiu
Njaa sio njaaa
An matatizo matupu..
Why kuna kufunga jamn🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Kwa njaa inayonigonga hadi chungu nimekisahau😅😂Mkuu hiki chungu cha ngapi wewe
...?
Alafu mwanzon ulivoanza kunijibu nikajua naongea na mtu na heshima zake mkuu ila sasa napata wasi wasi 😁😁😁🙌mkuu mimi situmii vyungu mbona
Alafu unakuta kuna watu wansema et mara sijui ndo afya mara nini sijuiNa Huu Mwanga Mkali Mnoo Wa Hili Jua Si Mchezo,Kwenda Mbinguni Kugumu Mnoo Ndugu Wananchi Wenzangu Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Hata mimi naamini hivyoFact ya kwanza, ma Mufti wote waongo. By definition.
Hahaha, mkuu nina heshima zangu,nimekufanyia utani kidogo, ila kama unafunga lakini huna imani juu ya unachofanya unakosea, na hapo haufungi unashinda mbayaAlafu mwanzon ulivoanza kunijibu nikajua naongea na mtu na heshima zake mkuu ila sasa napata wasi wasi 😁😁😁🙌
Mwenzak juu kule anasema et atumii chungu 😁😁😁😁😁Kwa njaa inayonigonga hadi chungu nimekisahau😅😂
We umefunga kweli au unataniaKwa njaa inayonigonga hadi chungu nimekisahau😅😂
Hahahaha hatari sanaKwa njaa inayonigonga hadi chungu nimekisahau😅😂
Anakosea Sana...Mwenzak juu kule anasema et atumii chungu 😁😁😁😁😁
Nimefunga mkuuWe umefunga kweli au unatania
Utamaliza hata kumi la kwanza wewe?Alafu unakuta kuna watu wansema et mara sijui ndo afya mara nini sijui
Sifanyagi Mazoezi Ya Kushinda NjaaAlafu unakuta kuna watu wansema et mara sijui ndo afya mara nini sijui
Dana mwamba ukiingia hizo ofisi utafikiri wamefiwaa YAAN HATA lodge wameanza gawa cdm Bure mwezi mzima kama promotionGraph zimeenda chini 😂
Ndiooo UJUE kuna jehanum na mbinguniTunafunga basi tuu ila in seriously show kali wakuu..
Kama leo mimi sijui if ntatoboa an naona kabisa siku ishazingua aiseee..
Kiu sio kiu
Njaa sio njaaa
An matatizo matupu..
Why kuna kufunga jamn🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Hahahaaaa umenikumbushaaaaHayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.
Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.
Ni hayo