secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
- Thread starter
- #61
Hahaha 😂Hahahaaaa umenikumbushaaaa
Tigo 2 max Yas
Hahahahahahahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 😂Hahahaaaa umenikumbushaaaa
Tigo 2 max Yas
Hahahahahahahaa
Kunguru Hawa wanatutesa Bora ingebaki tigoHahaha 😂
Hii ni MAAJABU!Huu mwezi una VITUKO sana mwakajana nilikutanaaaa na mzigo MMOJA kala shungi mbaya pale sinza kwenye koridor kuangalia na jirani loh
NKavumiliaa mwezi unaofwata nkanza mbio nae woiii safari hii HATA ushungi akuweka tukaingia lodge Ile Ile ....nkaelewa kwann tigo wamehamia m.yas
😅😅😅, kufunga ni ya wachache hiyo mkuu...Hayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.
Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.
Ni hayo
Mwezi huu watu wanauogopa Sana, wanadai kuwa ni mwezi wa njaa za kujitakia.😅😅😅, kufunga ni ya wachache hiyo mkuu...
Lodge zinawakammoto YAAN uwe na helà kidogo tu ukiona ushungi anatoka we imbisha unapitia naeHii ni MAAJABU!
. Nipo na akina Abdul, hamisi, juma, tupo tunapiga mbege kama kawaidaMwezi huu watu wanauogopa Sana, wanadai kuwa ni mwezi wa njaa za kujitakia.
Mbona unalalamika njaaNimefunga mkuu
Tunashukuru Mungu ameuona Mwanga. Ametoka kwenye dini ya kifungo Cha Mila na tamaduni za kale za kiarabu. Sasa yupo sehemu salama ambapo hata akifariki atsishi tena milele na hakuna uongo kuwa eti kaburini Kuna mtu sijui nani aiteaye izrael anayetoa kichapo kwa maiti isiyohisi chochoteHayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.
Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.
Ni hayo
Njaa ni kali mnoMbona unalalamika njaa
Duh...Tunashukuru Mungu ameuona Mwanga. Ametoka kwenye dini ya kifungo Cha Mila na tamaduni za kale za kiarabu. Sasa yupo sehemu salama ambapo hata akifariki atsishi tena milele na hakuna uongo kuwa eti kaburini Kuna mtu sijui nani aiteaye izrael anayetoa kichapo kwa maiti isiyohisi chochote
Mkubwa mzima unalalamika njaa wakati watoto wadogo wanafunga vizuri tu 😃Njaa ni kali mno
Acha tu mkuu, huu mwezi nauogopa kama ukoma.Mkubwa mzima unalalamika njaa wakati watoto wadogo wanafunga vizuri tu 😃
Sasa kwa nini unafungaAcha tu mkuu, huu mwezi nauogopa kama ukoma.
Nitimiza maandikoSasa kwa nini unafunga
Maandiko ganiNitimiza maandiko
Quran tukufuMaandiko gani
SEMA KUNA WATU WANATAPATAPA SANA, HUKU WANADAI AKINA JUMA MWEZI HUU WAMEJIGEUZA MAJINA KUJIITA MAJINA YA KIKIKRISTU.Ni uhuru wake wa kikatiba na kibinadamu.
Kwani tatizo liko wapi?