Rafiki yangu juma amebadili jina, sasa hivi anajiita Yekonia kisa mfungo

Rafiki yangu juma amebadili jina, sasa hivi anajiita Yekonia kisa mfungo

Huu mwezi una VITUKO sana mwakajana nilikutanaaaa na mzigo MMOJA kala shungi mbaya pale sinza kwenye koridor kuangalia na jirani loh

NKavumiliaa mwezi unaofwata nkanza mbio nae woiii safari hii HATA ushungi akuweka tukaingia lodge Ile Ile ....nkaelewa kwann tigo wamehamia m.yas
Hii ni MAAJABU!
 
Hayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.

Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.


Ni hayo
😅😅😅, kufunga ni ya wachache hiyo mkuu...
 
Mwezi huu watu wanauogopa Sana, wanadai kuwa ni mwezi wa njaa za kujitakia.
. Nipo na akina Abdul, hamisi, juma, tupo tunapiga mbege kama kawaida

. Kiujmla tu tuseme watu wanalazimishwa tu kufunga, lakini baadhi yao hawapo tayari kujiunga na mfungo.
 
Hayu jamaa suala la Kula, kwake ni sawa Sawa na kuvuta oxygen ndiyo maana kipindi cha mfungo hubadili jina.

Najua mnaokwepa kufunga mko wengi humu ndani,
hebu mniambie mbinu nitakayoitumia kukwepa kufunga.


Ni hayo
Tunashukuru Mungu ameuona Mwanga. Ametoka kwenye dini ya kifungo Cha Mila na tamaduni za kale za kiarabu. Sasa yupo sehemu salama ambapo hata akifariki atsishi tena milele na hakuna uongo kuwa eti kaburini Kuna mtu sijui nani aiteaye izrael anayetoa kichapo kwa maiti isiyohisi chochote
 
Tunashukuru Mungu ameuona Mwanga. Ametoka kwenye dini ya kifungo Cha Mila na tamaduni za kale za kiarabu. Sasa yupo sehemu salama ambapo hata akifariki atsishi tena milele na hakuna uongo kuwa eti kaburini Kuna mtu sijui nani aiteaye izrael anayetoa kichapo kwa maiti isiyohisi chochote
Duh...
 
Haya mambo ni marahisi midomoni ila kwa vitendo lazima kijasho chembamba kikushuke siku thelathini sio mchezo hata kidogo .

Zamani nikitembea na tuandazi twangu tutatu kwenye kabegi kangu ka shule ,basi swaumu ikikaza sana natafuta chimbo natuweka chapu tuandazi twangu tumboni alafu nacheki na maji kwa siri napoza rejeta then mapambano yanaendelea .

Ila nilikuja kuumbuka nikaacha ni hapo nikaamua kama kufunga nafunga kama kutofunga sifungi ila jueni sio suala lelemama jamani .

Makobela naomba tujuane hapa
 
Ni uhuru wake wa kikatiba na kibinadamu.

Kwani tatizo liko wapi?
SEMA KUNA WATU WANATAPATAPA SANA, HUKU WANADAI AKINA JUMA MWEZI HUU WAMEJIGEUZA MAJINA KUJIITA MAJINA YA KIKIKRISTU.
KWINGINE WANALALAMIKIA NYAMA ZA NGURUWE KUDODA MWEZI HUU.
 
Back
Top Bottom