Unajua ilitakiwa hao wenye gesti waombe cheti cha ndoa cha waliochukua chumba, vinginevyo wanaweza kuonekana wanafanya biashara ya danguro?Hao wenye gesti nao ni maboya, huwezi kuruhusu Mtu kumfuata Mgeni wenu chumbani bila ridhaa ya Mgeni.
Aisee !Inanikumbusha jamaa aliweka mtego katika purukushani za hapa na pale akachelewa kufumania akakuta tayari ameshaliwa mke wake chumba chote kinanuka mavi [emoji23][emoji23]
Usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
SureHivi unaanzaje kuchepuka na mke wa mtu halafu unampa dozi ile ile anayoipata kwa mumewe? Lazima uoneshe utofauti. Wake za watu hufanyiwa mambo ambayo mume hawezi kumfanyia. Huo ni ukweli mchungu kwa wenye wake wachepukaji. Hapo jamaa alizibua chemba kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano unakuja kujua mkeo anakusaliti wakati mna watoto wadogo chini ya miaka 10 unamuacha hivyo hivyo bila kusubiri watoto angalau wafikishe miaka 10?
Huo mtihani kiongozi wangu kama una wapenda wanao.
Unaweza kuona jinsi familia zilizo vurugika watoto wanavyo pata malezi ya ajabu.
Hapo sasaNi kweli. Hapo ndiyo tatizo linaanzia. Utasikia mke wangu hakati kiuno. Uliyaonewa wapi hayo kama mwanaume angekuwa hajakutana kimwili na mwanamke kabla ya ndoa?
Yaani shida, lakini wanawake wanavumilia mengi sanaSisi wanaume kwenye suala la kusalitiwa huwa wagumu sana kusamehe. Hapa ukisikia binadamu kala samaki siyo habari ila habari samaki kala binadamu. Hapa vyombo vya habari vitaandika kwenye magazeti, kutangazwa kwenye radio, tv pamoja na vyombo vya ulinzi vitaanza kumtafuta samaki wamuue. Ndivyo inavyotokea kwa mwanaume kumsaliti mwanamke na mwanamke kumsaliti mwanaume. Kuna rafiki yangu, anaweza kuulizwa na mkewe jambo la kawaida tu lakini akamjibu vibaya mpaka ukashindwa kumuelewa. Nakumbuka nilikuwa na mwanamke msaliti. Mtu akikuuliza mkeo hajambo au mkeo yupo, unatamani kumjibu siyo mke wangu.
Jamani mie nataka kujua mzee babaMaswali gani na wewe bibie unauliza unadhan ni mwanaume ndo amekunya ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo safi kabisa.Wanaume wachache wakishajua mke anakigawa huwa hawaulizi wala kuhoji. Anarudi nyumbani saa anayopenda, hamgusi kabisa mkewe na wala shughulini hawaendi pamoja. Mke mwenyewe bila kufukuzwa anaomba aondoke.
Chukua maelezo yote ya Kibuyu, amesema mwanamke anapokuwa kwa hawala huwa anaweza kukunjwa namna yoyote ile, lakini akiwa kwa mme wake analalamika anaumia, mara ooh miguu inauma, mara kifua kinauma, mara unanichosha, mara nyingi hapo ujue akili inakuwa imehamia kwa hawara yake, jibia hapa.
Nimetumia masaa karibu 8 siku ya jumamosi tarehe 25/1/2020 kumpa ushauri wa kisaikolojia, rafiki yangu ambaye ijumaa ya tar 24/1/2020 alimfumania mkewe Gesti majira ya saa 1 jioni hapa Morogoro.
Mkewe aliaga anakwenda msibani amefiwa na mtoto wa binamu yake, hivyo siku ya kwanza alishinda humo mpk jioni. Ila siku ya pili yake ambayo ni ijumaa, mkewe aliaga anaenda kusaidia shughuli msibani lkn kumbe alifika asubuhi na kuzuga kufanya vishughuli vya hapa na pale kisha akaenda kwa jamaa fulani hiv ambaye ni mchepuko wake.
Mke wa jamaa alionekana akiwa anaingia gesti iliyopo mitaa ya Kihonda hapa Morogoro hivyo inasemekana kuna mtu aliyekuwa anamfahamu alivujisha taarifa kwa mumewe. Jamaa mwenye mke alikuwa mbali wilaya nyingine hivyo alichelewa kufika eneo la tukio mida ya saa 1jioni. Alipofika gesti alikuta jamaa ameshaondoka na mkewe alikuwa anamalizia kuvaa nguo.
Hivyo jamaa alimpiga sana mkewe mpk watu waliopo karibu walivamia chumbani na kuamua ugomvi. Hivyo jambo hili limemuuma sana jamaa kwani mpaka sasa amekuwa ni mtu wa mawazo na kulewa sana. Mke wake hajulikani alipokimbilia.
Wanawake tafadhalini sana heshimuni ndoa zenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] hawa wanawake hawaInanikumbusha jamaa aliweka mtego katika purukushani za hapa na pale akachelewa kufumania akakuta tayari ameshaliwa mke wake chumba chote kinanuka mavi [emoji23][emoji23]
Usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakuigizia huyo.Mimi nilishamwambia wife ikiwa nimembamba na mchepuko iwe kwa njia ya SMS, Fb au popote pale muda huohuo ndio mwisho wa ndoa yetu, simpigi. Wife ananiogopa kama ukoma.
Huyo sasa ana mawazo ya nini huku mke kakimbia ndoa yeye mwenyewe?
Hayo ni madhara ya kuoa mwanamke ambaye hana bikra. Unaweza jamaa ndo aliyemtoa bikra na hawajaachana ila njema haitaki kuoa inamega kiseraHivi unaanzaje kuchepuka na mke wa mtu halafu unampa dozi ile ile anayoipata kwa mumewe? Lazima uoneshe utofauti. Wake za watu hufanyiwa mambo ambayo mume hawezi kumfanyia. Huo ni ukweli mchungu kwa wenye wake wachepukaji. Hapo jamaa alizibua chemba kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1342482
Is this D??[emoji847]
Kama ananizunguka basi kwa uhodari sana, maana anaweza kuondoka kanisani kwa Masaa 3-4 na simu iko on kaiacha ndani kitendo ambacho kizazi hiki ni ngumu hata kukupa password ya simu