Rafiki yangu kamfumania mkewe gesti

Rafiki yangu kamfumania mkewe gesti

Hao wenye gesti nao ni maboya, huwezi kuruhusu Mtu kumfuata Mgeni wenu chumbani bila ridhaa ya Mgeni.
Unajua ilitakiwa hao wenye gesti waombe cheti cha ndoa cha waliochukua chumba, vinginevyo wanaweza kuonekana wanafanya biashara ya danguro?
Kwa hivyo mwenye mke akija hawana jinsi lazima wamruhusu, sema lazima aje na watu wa serikali ya mtaa na polisi.
 
Jamaa sio ajabu alitoka mbio wilaya jirani na gari au pikipiki nusura apate ajali afe amuache mkewe anakula maisha na jamaa.
Hayo yotenkisa kufumania!
 
Hivi unaanzaje kuchepuka na mke wa mtu halafu unampa dozi ile ile anayoipata kwa mumewe? Lazima uoneshe utofauti. Wake za watu hufanyiwa mambo ambayo mume hawezi kumfanyia. Huo ni ukweli mchungu kwa wenye wake wachepukaji. Hapo jamaa alizibua chemba kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure
 
Hakuna namna nitaamua tu
Kwa mfano unakuja kujua mkeo anakusaliti wakati mna watoto wadogo chini ya miaka 10 unamuacha hivyo hivyo bila kusubiri watoto angalau wafikishe miaka 10?
Huo mtihani kiongozi wangu kama una wapenda wanao.
Unaweza kuona jinsi familia zilizo vurugika watoto wanavyo pata malezi ya ajabu.
 
Ona sasa maajabu ya wanawake Unaweza kuta mke kakimbilia kwa mchepuko kupat dozi zaidi kwa ajili ya kupunguza maumivu ya kupigwa😀 hawa wanawake waoneni hivi hivi tu!!
 
Sisi wanaume kwenye suala la kusalitiwa huwa wagumu sana kusamehe. Hapa ukisikia binadamu kala samaki siyo habari ila habari samaki kala binadamu. Hapa vyombo vya habari vitaandika kwenye magazeti, kutangazwa kwenye radio, tv pamoja na vyombo vya ulinzi vitaanza kumtafuta samaki wamuue. Ndivyo inavyotokea kwa mwanaume kumsaliti mwanamke na mwanamke kumsaliti mwanaume. Kuna rafiki yangu, anaweza kuulizwa na mkewe jambo la kawaida tu lakini akamjibu vibaya mpaka ukashindwa kumuelewa. Nakumbuka nilikuwa na mwanamke msaliti. Mtu akikuuliza mkeo hajambo au mkeo yupo, unatamani kumjibu siyo mke wangu.
Yaani shida, lakini wanawake wanavumilia mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukute anaumia kweli hatuwezi jua

Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua maelezo yote ya Kibuyu, amesema mwanamke anapokuwa kwa hawala huwa anaweza kukunjwa namna yoyote ile, lakini akiwa kwa mme wake analalamika anaumia, mara ooh miguu inauma, mara kifua kinauma, mara unanichosha, mara nyingi hapo ujue akili inakuwa imehamia kwa hawara yake, jibia hapa.
 
Mwanamke hapigigwi hugo jamaa akamatwe na kufikishwa kituoni haraka sana
Nimetumia masaa karibu 8 siku ya jumamosi tarehe 25/1/2020 kumpa ushauri wa kisaikolojia, rafiki yangu ambaye ijumaa ya tar 24/1/2020 alimfumania mkewe Gesti majira ya saa 1 jioni hapa Morogoro.

Mkewe aliaga anakwenda msibani amefiwa na mtoto wa binamu yake, hivyo siku ya kwanza alishinda humo mpk jioni. Ila siku ya pili yake ambayo ni ijumaa, mkewe aliaga anaenda kusaidia shughuli msibani lkn kumbe alifika asubuhi na kuzuga kufanya vishughuli vya hapa na pale kisha akaenda kwa jamaa fulani hiv ambaye ni mchepuko wake.

Mke wa jamaa alionekana akiwa anaingia gesti iliyopo mitaa ya Kihonda hapa Morogoro hivyo inasemekana kuna mtu aliyekuwa anamfahamu alivujisha taarifa kwa mumewe. Jamaa mwenye mke alikuwa mbali wilaya nyingine hivyo alichelewa kufika eneo la tukio mida ya saa 1jioni. Alipofika gesti alikuta jamaa ameshaondoka na mkewe alikuwa anamalizia kuvaa nguo.

Hivyo jamaa alimpiga sana mkewe mpk watu waliopo karibu walivamia chumbani na kuamua ugomvi. Hivyo jambo hili limemuuma sana jamaa kwani mpaka sasa amekuwa ni mtu wa mawazo na kulewa sana. Mke wake hajulikani alipokimbilia.

Wanawake tafadhalini sana heshimuni ndoa zenu!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaanzaje kuchepuka na mke wa mtu halafu unampa dozi ile ile anayoipata kwa mumewe? Lazima uoneshe utofauti. Wake za watu hufanyiwa mambo ambayo mume hawezi kumfanyia. Huo ni ukweli mchungu kwa wenye wake wachepukaji. Hapo jamaa alizibua chemba kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni madhara ya kuoa mwanamke ambaye hana bikra. Unaweza jamaa ndo aliyemtoa bikra na hawajaachana ila njema haitaki kuoa inamega kisera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom