Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Ni mtihani na kitendawili kikubwa kwakweli

Kuna time unakata tamaa na kuchukia kabisa haya mahusiano

Ila kuna time unatamani umpate wa kutulia nae na kumpa mapenzi yako

Tatizo ni pale yule unaewekeza upendo wako kwake anakukorogea mambo meusi mpaka unakoma
 
Laaulaah! Yan kila siku vituko haviishi hapa duniani aisee hawa wanawake wa kizazi cha nyoka wana shida gani
 
Hatujapata kujua ukweli toka upande wa pili .

Kuna uwezekano mkubwa huyo Mwanaume akawa ndiye mkosaji zaidi kwa kuzaa nje ya ndoa na mwanamke mwingine.

Pengine makosa yake ndio yamefanya dhamiri yake imhukumu ndani kwa ndani hadi kuangamia.

Kuna Habari sahihi ukizisikia Mwanaume wa ndoa amemfanyia mkewe utachoka sana!

Kuna Mwanaume anafika mahala hatunzi familia hela yote inaishia kwa mahawara!

Kuna Mwanaume mwingine anatumika nje ya ndoa sana wakati kwa mkewe nguvu anakuwa hana.

Kuna matukio ya ajabu kwenye ndoa Yani ukiwasikiliza wanandoa tofauti tofauti utachoka.
 
Unaijua maana ya kuvumiliana kwenye ndoa?

Yatakupata mabaya kuliko hata yaliyompata mwenzi wako Ni swala la muda tu.


Hivi kipimo cha uvumilivu ni kipi kwa mfano?

Je avumiliwe mtu anayeendelea kufanya makosa ya makusudi hata baada ya kuonywa mara kadhaa?
 
Yeah..

Ulichosema ni kweli kabisa.
 
Yupo mwingine namjua
Mgogoro wa ndoa na kesi za mahakamani, alikua na maisha mazuri nasikia now kapoteza kila kitu hadi nyumba yake anatembea anaongea mwenyewe barabarani.
Wanawake tuwe na huruma
Sorry for HIM.

#YNWA
 
No noo,unakosea mkuu.kumwita wizard mtu ingali hujui anapitia nn.unakosea.But it is okay huenda ulivyoandika ivo moyo wako umepata ahueni
Don't judge a book by it's cover inaonekana ulivutiwa nae sana b4 hujagundua madhaifu yake Sasa unaumia sana na kujuta
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…