Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
👍Issue hii hakuna ke aliemuua me. Na ndio maana hakuna kesi itakayo funguliwa itakayo mtuhumu Bibi kumuua bwana,ila Me ndio kashindwa kukubali matokeo pia kukosa ushauri ambao ungemfaa. Wanaume inatakiwa tudevelop Emotion Intelligence.
Emotional nmeshakubali kuwa nitaweza loose kitu chochote at anytime, yaweza kuwa mtu ama kitu.
Alikataa game before marriage, so after marriage nikajua kwanini alikuwa ananigomea penzi.
🤣🤣Alikataa game before marriage, so after marriage nikajua kwanini alikuwa ananigomea penzi.
Ni kweli mkuuUnaijua maana ya kuvumiliana kwenye ndoa?
Yatakupata mabaya kuliko hata yaliyompata mwenzi wako Ni swala la muda tu.
Hivi huyu mwana mke wakunifanya nijue sija muona hapa Tz hawa hawa wa kwetu hapa, I bet hapa tz no woman can beat my "emotional intelligence" may be nje ya nchi hi.Na wangu alitaka kujiua kwa bahati nzuri maziwa na majirani walikuwa karibu.Nilimchana live,usilete nuksi mjini,ufe kwa ajili yangu,mimi nisiyenduguyo,huwez fikiria tabu alizopata mother wako mpaka umefika hapa?
Huwez waza maumivu atakayopata mama ako ukifa? Embu itazame sura yangu vizuri je hujutii kutaka kujiua sababu yangu ambaye siingii hata mara moja kwa warembo utakaowaacha duniani na wenye kiu kweli ya ndoa?
NAONA ALINIELEWA MAANA NAONA HATA KUPIGAPIGA SIMU KUWAJULIA HALI WATOTO KAPUNGUZA.Ndo nitajua sijui safari hii,sijui nilianzajeanzaje kumsanua...nadhani kabla ya kumchana alikuwa ananiona mimi tu dunian sasa sijui huko anafanyaje eti?
Unataka kutuaminisha kuwa game alikuwa haliwezi
Billgate katoswa uzeeni.Bas tu ni changamoto za hapa na paleHivi huyu mwana mke wakunifanya nijue sija muona hapa Tz hawa hawa wa kwetu hapa, I bet hapa tz no woman can beat my "emotional intelligence" may be nje ya nchi hi.
She looks soo comfortable...i think she is cold hearted woman, who enjoys other people pain.Ila nimegundua kitu ambacho unacho moyoni mwako.
Hivi kwa kawaida tu hayo makombora uliyoyapata dakika kadhaa hapo juu bado unafuraha moyoni tena ya makopa kopa!
Hivi we mwanamke kweli au robot Sophia?
Huyo Jamaa anahitaji emotional assistance & counselling ya sisi wanaume wenzake asije akajifanyia kitu kibaya au kukuua kabisa.Sijamwacha bado niko nae ila yupo mbali
Pamoja na kusoma huuu uzi bado msimamo wangu wa kuoa upo pale pale kila mtu apambane na mwanamke wake!!!
Ulishaambiwa, wanawake ni viumbe dhaifu Ila ishi nao Kwa akili.
Tafakari hili Kwa kina badala la kuilaumu ndoa.
Kila mtu atakufa hatuwezi kukwepa wajibu wa kuoa.me nitaoa lazima tu then naendelea na maisha sidhani Kama nitafikia level ya dav
Ndoa tamu wewe, yakitokea ya kutokea unamshukuru Mungu unaendelea mbele
Mkuu kuoa ni lazima vinginevyo utakuwa mtu mzima hovyooo..
Kuwa na family hakukwepeki mkuu.
She might be a wizardShe look so comfortable...i think she is cold hearted woman, who enjoys other people pain.
MkuuIpo siku Tutasoma story za maisha yenu magumu mtakayopitia kwenye hizo NDOA ZENU.
Mi niwatakie tu MATESO YALIYOPUNGUA MAKALI.
Kuingia kwenye ndoa ni kuingia kwenye mateso MAKUU.
Niwatakie VIFO VYA KUJITAKIA VYEMA.
#RIP TZ CITIZEN IN ADVANCE.
#YNWA
Hata nje ya nchi hatakuwepo kama hawa wa hapa unawamudu. Huo ni uwezo wa kiume ambao wanaume wa sasa wengi wameupoteza.Hivi huyu mwana mke wakunifanya nijue sija muona hapa Tz hawa hawa wa kwetu hapa, I bet hapa tz no woman can beat my "emotional intelligence" may be nje ya nchi hi.
Kagoma kuachana kagoma kamanda,pia mali yake hainihusu mimi kabisa.Ile ni ndoa ya bibi na bwana na siyo bibi na mali ya bwana.Akija niacha niende hata kikombe sitochukuaUshampiga kibuti MR? DUUUUH mali mligawana??
No one will live forever.Usioe uishi milele wala usidhulumiwe.
Alijikuta mahaba Niue, akabadilisha documents zotee sababu ya mbunye tu so called NDOA.Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!
Nikashangaa....
""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""
Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"
poleni ila najiuliza huyo mke wa marehemu aliwezaje kuhonga the so called mbunye mahakama zote?
Kuna kitu hakiko sawa hakuna mahakama ya ajabu igawe kijinga hizo mali wakati sheria iko wazi.
Unapofika wakati wa kupelekana mahakama inabidi kutuliza akili, kuomba ushauri kwa wataalamu wa sheria.
Mtu ana hizo mali zote anashindwa kumuweka hata wakili, hata kama wanaachana wagawe fair?
Kama mahakama husika haikutenda haki alishindwa nini kukata rufaa?
Kuachana na mke ajiwekee stress hadi afe? Hiyo ndo kuokoa watoto wake?Kwani yeye wa kwanza kuachwa? Wanawake wote hawa si angepata mwingine?
Ifike mahala watu mjitambue jambo kama hilo likitokea ongea na watu anza upya maisha sahau ya zamani magari na nyumba vinatafutwa.