Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Billgate katoswa uzeeni.Bas tu ni changamoto za hapa na pale
Bill gates alimshirikisha wife wake kwenye miradi yote na alichangia kweli kweli ndoa za wa zungu ni "bussiness oriented" wana changiana kweli kweli ila za kwetu ni "sex oriented" eti nioe Mlugulu wakutoka Moro amekulia milimani aanze kunitisha hata kuandika bussiness plan ajui wala aja wahi kuisikia eti anishide my emotional intelligences. Hapa hapana sio mimi.
 
Wajumbeeeeeee...

SIKIA hiiii......

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro.

Kipindi hicho mi nilienda ofisini kwao kufanya field.
Kwasababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.

Alikua mchapa kazi balaaa na mtafuta hela hasaaa.

Kitengo kiling'ara kwasababu yake.

Maisha yake binafsi yalikua mazuri huku akimiliki nyumba na gari (simply kijana mwenye chenji zake).

Field ikaisha na Mimi nikasepa.

Ila urafiki uliendeleaa then ukapotea ghafla.

Baada ya muda bila kuwasiliana siku moja (mwaka jana) ghafla nikamkuta njiani.

Alikua kachoka balaaa, halafu ANATAFUTA KAZI..!!!

Dah ikabidi nisimamishe tukituki yangu ya miguu 4 apande kwenda sehemu kuongea.

Alikua kama kachanganyikiwa.

Nikampa lunch then nikampeleka gheto.

Alikaa gheto kama wiki hivi, then akasepa Dar.

Alichonihadithia....
1. Mwaka ule wa field yangu (2012) alioa.
2. Mkewe alimkuta Dav ana nyumba, gari, mashamba na Mali kibaoo.
3. Baada ya ndoa, miaka iliyofata maisha nyumbani yalianza kuwa magumu, kampuni ilikua ya wazungu. Then mkataba uliisha, wazungu wakarudi kwao, Dav akakosa permanent income.
4. Mkewe akachepuka na kuhamia kwa jamaa mpya mazima.
5. Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!

Nikashangaa....

""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""

Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"

Mwana alikua kama kachanganyikiwa.

Tuliongee akasema anaenda Dar kutafuta ajira na anashukia kwa Steve (sio jina lake halisi).

By accident Steve namjua sanaa (classmate).

Then siku ilivyofika nikampeleka stend akapanda ndinga huyoo Dar.

Yote haya yalitokea February/2021.

Leo yaani alifajiri hii napata taarifa kuwa "Davi kafariki kwasababu ya ugonjwa wa akili"

Steve anasema......
1. Dav alikuwa mwana Sana, tulicheza na kukua wotee kitaa
2. Kwasababu tupo field moja ya Kazi then tuliunda kama team ya kusaidiana kimawazo ya fani yenu.
3. Kila jambo, liwe jipya au gumu tunashirikishana.
4. Ila tokea aoe na kuanza matatizo ya ndoa performance ilishuka.
5. Kazi zikaisha
6. Mali zake zikauzwa
7. Alivyofika Dar alikua kama chizi, kutwa kuwataja wanae, mara aropoke majina ya mkewe kwa hasira na vitu kama hivyo.
8. Tarehe 01/08 hali ilikua mbaya hasa, akakimbizwa hospital.
9. Na leo 07/08/2021 Dav KAFARIKI kwasababu ya matatizo ya akili.

Dah....
1. Watoto wawili hawana baba Tena.
2. Kuna wazazi wamepoteza mpendwa wao mtoto wa kiume PEKEE.
3. Kuna sisi tumepoteza role model wa Kazi na rafiki.
4. Tasinia yetu ya science imepoteza MTALAAMU.
5. Tanzania imepungukiwa na GDP

Yoteee haya eti kisa mbunye..!!!
1. We unadhani angeamua kuwa single kama Mimi ANGEKUFA na NDOA?
2. We unadhani angeamua kum-HIT AND RUN huyo mkewe YANGETOKEA HAYA?
3. We unadhani ...........

Alidhani kuoa ni kuzuri KUMBE KUMEMTAFUTIA KIFO MAPEMA AKIWA NA MIAKA 39 tuuu.

Tafuta hela kijana kuoa ni upuuzi kwa dunia ya sasa.

Hawataki penzi lako ila WANATAKA HIZO MALI ZAKO.

They are GOLD DIGGERS, they need kuchimba dhahabu yotee kutoka kwenye huo mgodi wako then wauache empty.

Leo nipo gheto kusikiliza nyimbo alizozipenda Dav tuu...

RIP BROTHER.

""If you think money can't buy happiness, nenda kaulize ajira mpya walimu wiki hii walivyolipwa HELA ZAO KUJIKIMU na Halmashauri zao WALIJISIKIAJE""

View attachment 1883485

View attachment 1883489

Tafuta HELA kijana.

#YNWA

Kama kuna mtu anaweza kukaa bila mke na akawa na Amani na nidhamu, na asiwe muhuni, namshauri asioe ! Wan awake ni shida sana!

ILA nakuambia wanaume at some stage hasa wakipita 40 kama hawajaoa, Wataoa tu, na most of them ndoa za huwa ngumu maana wamechelewa!

Hata wewe utakuja kuoa tu, take my words, kuoa is a nature call, at some stage kila Mwanadamu anaitaji huo utimilivu na inakuwa changamoto kama ujajipanga!

Cha muhimu tuombe Mungu, tusikilize watu waliotutangulia ili tuoe watu sahihi, nje hapo we know the obvious, maisha yanaweza kuwa magumu sana!
 
Bill gates alimishirikisha wife wake kwenye miradi yote na alichangia kweli kweli ndoa za wazungu ni "bussiness oriented" wana changia kwelikweli ila za kwetu ni "sex oriented" eti nioe Lizigua limekulia milimani lianze kunitisha hata kuandika bussiness plan alijui wala alijawahi kusikia eti lishide my emotional intelligences. Hapa hapana.
Wewe acha kufananisha wazigua na vitu ya ajabu
 
Wajumbeeeeeee...

SIKIA hiiii......

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro.

Kipindi hicho mi nilienda ofisini kwao kufanya field.
Kwasababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.

Alikua mchapa kazi balaaa na mtafuta hela hasaaa.

Kitengo kiling'ara kwasababu yake.

Maisha yake binafsi yalikua mazuri huku akimiliki nyumba na gari (simply kijana mwenye chenji zake).

Field ikaisha na Mimi nikasepa.

Ila urafiki uliendeleaa then ukapotea ghafla.

Baada ya muda bila kuwasiliana siku moja (mwaka jana) ghafla nikamkuta njiani.

Alikua kachoka balaaa, halafu ANATAFUTA KAZI..!!!

Dah ikabidi nisimamishe tukituki yangu ya miguu 4 apande kwenda sehemu kuongea.

Alikua kama kachanganyikiwa.

Nikampa lunch then nikampeleka gheto.

Alikaa gheto kama wiki hivi, then akasepa Dar.

Alichonihadithia....
1. Mwaka ule wa field yangu (2012) alioa.
2. Mkewe alimkuta Dav ana nyumba, gari, mashamba na Mali kibaoo.
3. Baada ya ndoa, miaka iliyofata maisha nyumbani yalianza kuwa magumu, kampuni ilikua ya wazungu. Then mkataba uliisha, wazungu wakarudi kwao, Dav akakosa permanent income.
4. Mkewe akachepuka na kuhamia kwa jamaa mpya mazima.
5. Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!

Nikashangaa....

""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""

Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"

Mwana alikua kama kachanganyikiwa.

Tuliongee akasema anaenda Dar kutafuta ajira na anashukia kwa Steve (sio jina lake halisi).

By accident Steve namjua sanaa (classmate).

Then siku ilivyofika nikampeleka stend akapanda ndinga huyoo Dar.

Yote haya yalitokea February/2021.

Leo yaani alifajiri hii napata taarifa kuwa "Davi kafariki kwasababu ya ugonjwa wa akili"

Steve anasema......
1. Dav alikuwa mwana Sana, tulicheza na kukua wotee kitaa
2. Kwasababu tupo field moja ya Kazi then tuliunda kama team ya kusaidiana kimawazo ya fani yenu.
3. Kila jambo, liwe jipya au gumu tunashirikishana.
4. Ila tokea aoe na kuanza matatizo ya ndoa performance ilishuka.
5. Kazi zikaisha
6. Mali zake zikauzwa
7. Alivyofika Dar alikua kama chizi, kutwa kuwataja wanae, mara aropoke majina ya mkewe kwa hasira na vitu kama hivyo.
8. Tarehe 01/08 hali ilikua mbaya hasa, akakimbizwa hospital.
9. Na leo 07/08/2021 Dav KAFARIKI kwasababu ya matatizo ya akili.

Dah....
1. Watoto wawili hawana baba Tena.
2. Kuna wazazi wamepoteza mpendwa wao mtoto wa kiume PEKEE.
3. Kuna sisi tumepoteza role model wa Kazi na rafiki.
4. Tasinia yetu ya science imepoteza MTALAAMU.
5. Tanzania imepungukiwa na GDP

Yoteee haya eti kisa mbunye..!!!
1. We unadhani angeamua kuwa single kama Mimi ANGEKUFA na NDOA?
2. We unadhani angeamua kum-HIT AND RUN huyo mkewe YANGETOKEA HAYA?
3. We unadhani ...........

Alidhani kuoa ni kuzuri KUMBE KUMEMTAFUTIA KIFO MAPEMA AKIWA NA MIAKA 39 tuuu.

Tafuta hela kijana kuoa ni upuuzi kwa dunia ya sasa.

Hawataki penzi lako ila WANATAKA HIZO MALI ZAKO.

They are GOLD DIGGERS, they need kuchimba dhahabu yotee kutoka kwenye huo mgodi wako then wauache empty.

Leo nipo gheto kusikiliza nyimbo alizozipenda Dav tuu...

RIP BROTHER.

""If you think money can't buy happiness, nenda kaulize ajira mpya walimu wiki hii walivyolipwa HELA ZAO KUJIKIMU na Halmashauri zao WALIJISIKIAJE""

View attachment 1883485

View attachment 1883489

Tafuta HELA kijana.

#YNWA
I swear to God hela niliyoitafuta mwenyewe haigawi tutarogana mpaka kuchr haki vile..
 
Relax kamanda, mbona alikunywa mwenyewe afu mi ndo nikamwokoa. Nilimkamulia hadi maziwa yangu ya kifuani

Comments zako naona kama unafeel kama proud vile kwa lilitokea!!

Wale vijana wa kusoma seminary na wakirudi likizo wanafungiwa ndani, ndiyo mnaowafanyia hivyo!!

Ukutane na mijitu imeanza kunyanduana kindergarten, imetafuta yenyewe mpaka kufanikiwa, utatia akili!!
 
Wajumbeeeeeee...

SIKIA hiiii......

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro.

Kipindi hicho mi nilienda ofisini kwao kufanya field.
Kwasababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.

Alikua mchapa kazi balaaa na mtafuta hela hasaaa.

Kitengo kiling'ara kwasababu yake.

Maisha yake binafsi yalikua mazuri huku akimiliki nyumba na gari (simply kijana mwenye chenji zake).

Field ikaisha na Mimi nikasepa.

Ila urafiki uliendeleaa then ukapotea ghafla.

Baada ya muda bila kuwasiliana siku moja (mwaka jana) ghafla nikamkuta njiani.

Alikua kachoka balaaa, halafu ANATAFUTA KAZI..!!!

Dah ikabidi nisimamishe tukituki yangu ya miguu 4 apande kwenda sehemu kuongea.

Alikua kama kachanganyikiwa.

Nikampa lunch then nikampeleka gheto.

Alikaa gheto kama wiki hivi, then akasepa Dar.

Alichonihadithia....
1. Mwaka ule wa field yangu (2012) alioa.
2. Mkewe alimkuta Dav ana nyumba, gari, mashamba na Mali kibaoo.
3. Baada ya ndoa, miaka iliyofata maisha nyumbani yalianza kuwa magumu, kampuni ilikua ya wazungu. Then mkataba uliisha, wazungu wakarudi kwao, Dav akakosa permanent income.
4. Mkewe akachepuka na kuhamia kwa jamaa mpya mazima.
5. Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka.
6. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza mbunye na pesa mpaka talaka ikatolewa.
7. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe..!!!

Nikashangaa....

""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa??""

Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto"

Mwana alikua kama kachanganyikiwa.

Tuliongee akasema anaenda Dar kutafuta ajira na anashukia kwa Steve (sio jina lake halisi).

By accident Steve namjua sanaa (classmate).

Then siku ilivyofika nikampeleka stend akapanda ndinga huyoo Dar.

Yote haya yalitokea February/2021.

Leo yaani alifajiri hii napata taarifa kuwa "Davi kafariki kwasababu ya ugonjwa wa akili"

Steve anasema......
1. Dav alikuwa mwana Sana, tulicheza na kukua wotee kitaa
2. Kwasababu tupo field moja ya Kazi then tuliunda kama team ya kusaidiana kimawazo ya fani yenu.
3. Kila jambo, liwe jipya au gumu tunashirikishana.
4. Ila tokea aoe na kuanza matatizo ya ndoa performance ilishuka.
5. Kazi zikaisha
6. Mali zake zikauzwa
7. Alivyofika Dar alikua kama chizi, kutwa kuwataja wanae, mara aropoke majina ya mkewe kwa hasira na vitu kama hivyo.
8. Tarehe 01/08 hali ilikua mbaya hasa, akakimbizwa hospital.
9. Na leo 07/08/2021 Dav KAFARIKI kwasababu ya matatizo ya akili.

Dah....
1. Watoto wawili hawana baba Tena.
2. Kuna wazazi wamepoteza mpendwa wao mtoto wa kiume PEKEE.
3. Kuna sisi tumepoteza role model wa Kazi na rafiki.
4. Tasinia yetu ya science imepoteza MTALAAMU.
5. Tanzania imepungukiwa na GDP

Yoteee haya eti kisa mbunye..!!!
1. We unadhani angeamua kuwa single kama Mimi ANGEKUFA na NDOA?
2. We unadhani angeamua kum-HIT AND RUN huyo mkewe YANGETOKEA HAYA?
3. We unadhani ...........

Alidhani kuoa ni kuzuri KUMBE KUMEMTAFUTIA KIFO MAPEMA AKIWA NA MIAKA 39 tuuu.

Tafuta hela kijana kuoa ni upuuzi kwa dunia ya sasa.

Hawataki penzi lako ila WANATAKA HIZO MALI ZAKO.

They are GOLD DIGGERS, they need kuchimba dhahabu yotee kutoka kwenye huo mgodi wako then wauache empty.

Leo nipo gheto kusikiliza nyimbo alizozipenda Dav tuu...

RIP BROTHER.

""If you think money can't buy happiness, nenda kaulize ajira mpya walimu wiki hii walivyolipwa HELA ZAO KUJIKIMU na Halmashauri zao WALIJISIKIAJE""

View attachment 1883485

View attachment 1883489

Tafuta HELA kijana.

#YNWA

Huwa comment yangu kubwa ni:

Kuna wanawake wa kuoa, si kila mwanamke anafaa kuwa mke!! Kuna wanawake pita nao katika ujana, ukiamua kuoa shirikisha watu kitafuta mke hakuna ujuzi!! Jamii inayokuzunguka na jamii inayomzunguka mwanamke inaweza kukupa msaada mkubwa!!

Kuna jamaa aliwahi kunijibu, "mwanamke akiwa na tako mi naoa, mengine tutavumiliana!"

Kila la heri vijana
 
Back
Top Bottom