Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Endelea kufurahia wake za watu siku yako inakuja
Umeelewa point..
Soma Tena utaelewa.

Sikua najua ni mke wa mtu ila baada ya kugongana muda mrefu ndio alikuja kuniambia.

#YNWA
 
Hii kushindwa kuoa eti kwa sababu tu za wanawake ni dalili TOSHA kuwa HAUFAI

Huwezi ku solve matatizo yanapokukabili
Huwezi kuwa KIONGOZI ana pevu njia ngumu wapite.
Huwezi kusimamia kile UNAAMINI
Kimsingi wewe ni LIABILITY kwa dunia hii.
Si Shujaa wa kizazi chako.

Mwanamke unabidi
Ukae naye kwa akili
Utumie njia ngumu na laini kumlabili. Unampiga kwa khanga ,mayai na zawadi na Unampiga kwa makofi,fimbo, maneno na adhabu zote. Utamuangalia ipi inafanyakazi sawasawa
 
Wajumbe sikieni hii.

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro. Kipindi hicho mimi nilienda ofisini kwao kufanya field, kwa sababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.

Alikua mchapa kazi balaa hivyo kitengo kiling'ara kwasababu yake. Maisha yake binafsi yalikua mazuri huku akimiliki nyumba na gari (simply kijana

#YNWA
Duuh inauma, pole sana mkuu
 
Wanaume pia wanamatukio. Kuna dada aliolewa ndani ya six months jamaa kamuengage mtu mwingine. Wamama wengi tu wametelekezwa na watoto. Haya mambo ni pande zote ila kwa wanaume naona moyo huwa hawana, wanaishia kufa.
 
Na wangu alitaka kujiua kwa bahati nzuri maziwa na majirani walikuwa karibu.Nilimchana live,usilete nuksi mjini,ufe kwa ajili yangu,mimi nisiyenduguyo,huwez fikiria tabu alizopata mother wako mpaka umefika hapa?

Huwez w
Kwa nini uliamua kumuacha aisee.
 
Yeah,sometimes natema kweli
Unaonekana upo real sana hata kwamba hapa JF hatujuani kwa undani, hii ni kutokana na mtiririko wa namna una~ participate katika thread tofauti tofauti, big up sana kwa hilo.

Nikija Mbeya wakati wowote nitakutafuta
 
Unaonekana upo real sana hata kwamba hapa jf hatujuani kwa undani, hii ni kutokana na mtiririko wa namna una~ participate katika thread tofauti tofauti, big up sana kwa hilo.

Nikija Mbeya wakati wowote nitakutafuta
Karibu sana
 
Nikiwa Bachelor 2014 (Nilisoma nikiwa service) nilikuwa natomb* mke wa mtu ambae ndoa yake ina miaka 12.

Mara ya kwanza nilimtongoza na sikujua kama mke wa mtu, ila baada ya miezi kupita ndio alinichana kuwa ye ni mke wa mtu.

Ila niliendelea kunyandua mpaka chuo kikaisha na kila mtu kwao.

Na trust me, wake zenu ni noma, maana akiwa home alikua ananitafuta kwa muda anaoona yeye unafaa, na likizo (akiwa kwake) sikuwa namtafuta.

Ila mapenzi yaliisha alivyorudi kwake nikamchana "ME AND YOU NO MORE, MPENDE MUMEO"
Hii ilikua 2018.

Ila huwezi amini, mwaka huu anataka kusoma course fulani hivi na kanibembeleza aje kusomea chuo mkoa nakoishi ili tu niwe karibu kumnyandua siku akijisikia hamu..!!!

Dah huwa nashangaa tu Mimi na ndoa ZENU.

HAWA NDIO WAKE ZENU NA KWENYE NDOA ZENU ZA MIAKA KIBAO.

#YNWA
Unajisifia au sio? Utalipa mark my word utalipa kwa gharama kubwa sana
 
Daah nina kila sababu ya kimshukuru Maulana kunipa mke mzuri na mwenue hofu ya Mungu, msomi na big Brain na ananipea furaha kinyama, kiufupi kwenye hao wanawake mtoe kabisa mama watoto wangu maana nina wife material Allah kanijaalia, yaani huyu hata akitaka kusoma Phd ntampa nafasi maana hakuna nnachokosa kama mume pamoja na madesa yake na urembo wake, mbususu nnakula tani yangu, watoto na mimi tuko mikono salama na nnapata hamasa ya kuhusumia familia yangu nikiwa nnatabasam tu
 
Back
Top Bottom