Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

Daah nina kila sababu ya kimshukuru Maulana kunipa mke mzuri na mwenue hofu ya Mungu, msomi na big Brain na ananipea furaha kinyama, kiufupi kwenye hao wanawake mtoe kabisa mama watoto wangu maana nina wife material Allah kanijaalia, yaani huyu hata akitaka kusoma Phd ntampa nafasi maana hakuna nnachokosa kama mume pamoja na madesa yake na urembo wake, mbususu nnakula tani yangu, watoto na mimi tuko mikono salama na nnapata hamasa ya kuhusumia familia yangu nikiwa nnatabasam tu
Kuna kitu Kinaitwa NGUVU YA KUJUA UKWELI.

Ngoja siku ujue Her other side.

#YNWA
 
Kuna kitu Kinaitwa NGUVU YA KUJUA UKWELI.

Ngoja siku ujue Her other side.

#YNWA
Wala usintishe Jomba we unakutana na madanga unadhani dunia nzima iko hivyo, kama unataka wife material lazma na we uwe husband material so we pambana na majanga yako huko udangako, ndoa ni raha ukiingia mahala sahihi, we met at our younger age and now we are parents to a very beautiful family Alhamdulillah
 
Na wangu alitaka kujiua kwa bahati nzuri maziwa na majirani walikuwa karibu.Nilimchana live,usilete nuksi mjini,ufe kwa ajili yangu,mimi nisiyenduguyo,huwez fikiria tabu alizopata mother wako mpaka umefika hapa?

Huwez waza maumivu atakayopata mama ako ukifa? Embu itazame sura yangu vizuri je hujutii kutaka kujiua sababu yangu ambaye siingii hata mara moja kwa warembo utakaowaacha duniani na wenye kiu kweli ya ndoa?

NAONA ALINIELEWA MAANA NAONA HATA KUPIGAPIGA SIMU KUWAJULIA HALI WATOTO KAPUNGUZA.Ndo nitajua sijui safari hii,sijui nilianzajeanzaje kumsanua...nadhani kabla ya kumchana alikuwa ananiona mimi tu dunian sasa sijui huko anafanyaje eti?
Daaah ishi kimya tu
 
Asante
Wajumbe sikieni hii.

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro.
Kipindi hicho mimi nilienda ofisini kwao kufanya field, kwa sababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.
Asante kwa huu uzi mkuu, kuna kitu nimejifunza hapa kutokana na mahusiano yangu ya sasa hayana afya kabisa, siku chache zijazo nitaweka uzi nipate elimu zaidi hapa jamvini.
 
Wala usintishe Jomba we unakutana na madanga unadhani dunia nzima iko hivyo, kama unataka wife material lazma na we uwe husband material so we pambana na majanga yako huko udangako, ndoa ni raha ukiingia mahala sahihi, we met at our younger age and now we are parents to a very beautiful family Alhamdulillah
Kwahiyo wotee wanaokuzunguka wenye ndoa NGUMU ni kwasababu wake zao ni madanga?

#YNWA
 
Wala usintishe Jomba we unakutana na madanga unadhani dunia nzima iko hivyo, kama unataka wife material lazma na we uwe husband material so we pambana na majanga yako huko udangako, ndoa ni raha ukiingia mahala sahihi, we met at our younger age and now we are parents to a very beautiful family Alhamdulillah
1. Bill gate kaachana na ndoa, Hivi MELINDA GATE ni MDANGAJI?

2. Dangote kaachana na ndoa, hivi mke wa billionea wa Africa ni MDANGAJI?

3. Kwenye ile top Ten ya RICHEST PEOPLE IN THE WORD, asilimia 70 wameachana na wake zao, HIVI WAKE ZAO NI WADANGAJI?

#YNWA
 
Nimeamua kuendelea kuishi nae coz kihistoria aliachwaga na mama yake mzazi akiwa na two years old only akalelewa na ndugu ambao nao hawakumpa malez bora.Nadhani hiyo ilichangia yeye kuona bora kufa coz alihisi ana roho ya kukataliwa.Mungu aendelee kumpigania
Kama sio Malaya shoga yangu mvumilie tu
 
1. Bill gate kaachana na ndoa, Hivi MELINDA GATE ni MDANGAJI?

2. Dangote kaachana na ndoa, hivi mke wa billionea wa Africa ni MDANGAJI?

3. Kwenye ile top Ten ya RICHEST PEOPLE IN THE WORD, asilimia 70 wameachana na wake zao, HIVI WAKE ZAO NI WADANGAJI?

#YNWA
Ngoja bas ni mi niwe Billionaire niachane na wangu ili ujione mtabiri, acheni kushambulia kila mwanamke kwa reference ya majitu ya hovyo mnayokutana nayo, wazazi wangu wapo ktk ndoa kwa zaidi ya miaka 45 leo na ni wazee na sikuwahi kuona wakizinguana pamoja na ukweli kua kama familia tumewahi kupita nyakati ngumu mnoo, so wapo watu wako ktk ndoa na wanakula raha hivyo huwez kuja na general statement kua ndoa hazina maana
 
Nyie oeni tu.

Jana nikiwa ofisini, alikuja jamaa ni fundi ofisi ya jirani hapa kwetu. Karudi kutoka shamba alikohamia baada ya kuona maisha ya mjini hayakai sawa, akaamua yeye na mkewe warudi zao shamba kama miaka miwili sasa na kule shamba wana mashamba ya familia hivyo ni uwezo wako tu wa kuyahudumia.

Jamaa akaanza kulima Ufuta, huku kwingine akiwa na minazi, yeye Ufuta aliacha ukiwa umeshavunwa mwezi wa pili alivokuja tena town. Mwezi wa tano akampigia simu mkewe aliyebaki shamba kumuuliza kama alienda kupima ghalani, mkewe akamwambia asubiri kwanza atamjuza. Siku zimekwenda hapewi jibu, sasa siku moja akapigiwa simu na jamaa yake tu jirani kumuuliza kilo walizopata, jamaa akabaki na butwaa sababu hajui chochote wala hajashirikishwa lolote na mkewe.

Basi yule jamaa yake akamsihi kuwa asimwambie mkewe kama yeye ndiye alotoa taarifa hiyo ya ufuta kupelekwa ghalani na pesa akalipwa. Kumbuka huyu mke na mume wana akaunti benki ya pamoja, kiasi kwamba pesa ikiingia benki mume anapata ujumbe kwenye simu yake. Mume akaanza kumkomalia mkewe amwambie amepima kapata bei gani! Mke akawa Mbogo, akamjibu ametumia akaunti ya kaka yake kufanya malipo. Jamaa akaona hili limeshakuwa tatizo, akaondoka zake kurudi Pande hapo mjini Kilwa, kufika akaenda mpaka kwa kaka mtu kumuuliza kama malipo yalifanyikia kwenye akaunti yake, kaka mtu akamwambia amuulize vizuri mkewe malipo alikofanyia. Mke akalipuka akamwambia mumewe, pesa hana na anataka talaka yake
Lahaulaaaaaaaaaa!!!!!!!!

Bwana yule ikabidi akatoe taarifa kwa wazazi, kikaitishwa kikao upande wa mke na upande wa mume. Mume akaeleza ya kwake na kubwa alilokuwa analidai ni fedha za jasho lake ila mke alilolizungumza kwa kumaanisha ni kuwa ANATAKA TALAKA YAKE LA SIVYO KATI YAKE MKE AU MUME KUNA MTU ATAKUFA HAPO, watu wakahamaki! Yule bwana akamwambia mkewe ampe pesa zake Talaka itafuata, mke akakataa ikabidi baba mkubwa wa mume atoe talaka kwa niaba ya mwanae ili kunusuru mengine.

Mshikaji alipoona jambo limefikia hivyo ikabidi arudi tu Dar aje kuanza maisha mapya, ila alichokisema yule bwana ni anataka Amuue alokuwa mkewe ndio awe na amani.

Nb hii ndoa haina hata miaka minne.
 
Wajumbe sikieni hii.

Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro.
Kipindi hicho mimi nilienda ofisini kwao kufanya field, kwa sababu yeye alikua mkuu wa kitengo nilichopangiwa field then nilimkubali sanaa mwana.

Alikua mchapa kazi balaa hivyo kitengo kiling'ara kwasababu yake.
Maisha yake binafsi yalikua mazuri huku akimiliki nyumba na gari (simply kijana mwenye chenji zake).

Field ikaisha na mimi nikaondoka ila urafiki uliendeleaa halafu ukapotea ghafla.

Baada ya muda bila kuwasiliana siku moja (mwaka jana) ghafla nikamkuta njiani.

Alikua kachoka balaaa, halafu anatafuta kazi. Ikabidi nisimamishe tukituki yangu ya miguu 4 apande kwenda sehemu kuongea.
Alikua kama kachanganyikiwa. Nikampa lunch then nikampeleka gheto, alikaa gheto kama wiki hivi, then akasepa Dar.

Tukiwa nyumbani kwangu akanipa hadithi kwamba mwaka ule wa field yangu (2012) alioa. Mkewe alimkuta Dav ana nyumba, gari, mashamba na mali nyingi tuu.

Baada ya ndoa, miaka iliyofata maisha nyumbani yalianza kuwa magumu, kampuni ilikua ya wazungu. Mkataba uliisha, wazungu wakarudi kwao, Dav akakosa kipato cha kudumu. Mkewe akachepuka na kuhamia kwa jamaa mpya moja kwa moja.

Mkewe alipeleka kesi mahakamani kuomba talaka. Huko nako Dav alichosikia, mkewe alitembeza hongo mpaka talaka ikatolewa. Ilibidi gari na mashamba yauzwe iliwagawane na ndoa ivunjwe.

Nikashangaa sana, nikamuuliza ""Mbona hizi Mali ulizipata kabla ya ndoa?"" Alinijibu "hata sijui nini kilifanyika, na vile kuokoa watoto wangu (wawili) ilibidi nikubali liuzwe gari na mashamba ndio tugawane halafu nyumba abaki nayo akae na watoto""

Mwana alikua kama kachanganyikiwa. Tuliongee akasema anaenda Dar kutafuta ajira na anashukia kwa Steve (sio jina lake halisi). Kwa bahati nzuri Steve namjua sanaa (classmate). Then siku ilivyofika nikampeleka stend akapanda ndinga huyoo Dar.

Yote haya yalitokea February/2021. Leo yaani alifajiri hii napata taarifa kuwa ""Davi kafariki kwasababu ya ugonjwa wa akili"" Steve anasema, Dav alikuwa mwana Sana, tulicheza na kukua wote kitaa. Kwasababu tupo field moja ya kazi, tuliunda kama team ya kusaidiana kimawazo ya fani yetu kila jambo, liwe jipya au gumu tunashirikishana.

Ila tokea aoe na kuanza matatizo ya ndoa performance ilishuka. Kazi zikaisha na mali zake zikauzwa, alivyofika Dar alikua kama chizi, kutwa kuwataja wanae, mara aropoke majina ya mkewe kwa hasira na vitu kama hivyo.

Tarehe 01/08 hali ilikua mbaya hasa, akakimbizwa hospital. Na leo 07/08/2021 Dav kafariki kwasababu ya matatizo ya akili. Watoto wawili hawana baba tena. Kuna wazazi wamepoteza mpendwa wao mtoto wa kiume pekee.Kuna sisi tumepoteza role model wa kazi na rafiki. Tasinia yetu ya science imepoteza mtaalamu. Tanzania imepungukiwa GDP

Alidhani kuoa ni kuzuri kumbe kumemtafutia kifo mapema akiwa na miaka 39 tuu. Tafuta hela kijana kuoa ni upuuzi kwa dunia ya sasa.Hawataki penzi lako ila wanataka hizo mali zako tuu.They are gold diggers, they need kuchimba dhahabu yotee kutoka kwenye huo mgodi wako then wauache empty.

Leo nipo gheto kusikiliza nyimbo alizozipenda Dav tuu.

RIP Brother

"If you think money can't buy happiness, nenda kaulizewanufaika wa ajira mpya za walimu wiki hii walivyolipwa hela zao za kujikimu walijisikiaje.

View attachment 1883485

View attachment 1883489

Tafuta hela kijana.

#YNWA
Kipanya alisema malcolm alitufundisha kushukuru. Shukuruni kwa kila jambo
 
Nyie oeni tu.

Jana nikiwa ofisini, alikuja jamaa ni fundi ofisi ya jirani hapa kwetu. Karudi kutoka shamba alikohamia baada ya kuona maisha ya mjini hayakai sawa, akaamua yeye na mkewe warudi zao shamba kama miaka miwili sasa na kule shamba wana mashamba ya familia hivyo ni uwezo wako tu wa kuyahudumia.
Wajifunze k*m*m*k, watu wanaoa kwa mihemko na uzuri wa umbo na sura, let them die f*ck! Na iwe fundisho. Wanawake wenye mapenz ya kweli wapo ila hawana sura wala shape za kuvutia, ila watu wanahangaika na ma-slay queen.
 
Wajifunze k*m*m*k, watu wanaoa kwa mihemko na uzuri wa umbo na sura, let them die f*ck! Na iwe fundisho. Wanawake wenye mapenz ya kweli wapo ila hawana sura wala shape za kuvutia, ila watu wanahangaika na ma-slay queen.
Hata hao wasio na shape nzuri, kiumbe kikishakuwa cha kike tu! Ni tabu mnooo
 
POLE NYINGI KWAKE NA MUNGU AMREHEMU! Wanawake hawa na hongo za ngono wanazotoa mahakamani yaani balaa tupu!
Mimi nilinusurika kujinyonga hivihivi! Nyumba zangu 3 na viwanja 2 vilienda na maji! Nilala nakesha muda wa miezi 4, nikanunua kamba kabisa ili nijimalize.

Nilikuwa naamka usiku wa manane zaidi ya mara tatu ili nijining'inize lakini nikiwafikiria wanangu narudi tena kitandani! NAMSHKURU SANA MUNGU alivyoweza kunituliza nikakivuka kipindi kile kigumu! Nilipungua uzito zaidi ya kilo 6!
Hayo mambo ya TALAKA omba yasikutokee, kuna wanawake mashetani wakubwa!
 
Back
Top Bottom