Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Wewe hiyo tabia ya kutongoza tongoza sio nzuri unawe mtongoza hata dada yako ! kuwa makini
 
akishakubali mwambie achague kati ya pesa ama mapenzi, na akisema pesa mwambie huna nafasi kwangu, kwa sababu huwezi sifia chakula kitamu wakati hujakionja
 
Mm sijaona ushauri hapo wabongo bana eti MTU anakushukuru Kwa ushauri hivi kiuhalisia hapo kuna ushauri gani zaidi ya kutongoza kila ubeti tongoza tongoza imekuwa tongoza

Nategeme utoe mbinu za kutongoza na ushauri huo uguse mambo ambayo yatamvutia MTU akatongoze

Umekaa getto umejipigia puchu vibao vimejaa kwenye boxer ukajikuta unapita njiani ukijiimbia kawimbo ka kutongoza kuondoa stress ukaleta humu JF kutushirikisha upuuzi wako

Acha ujinga
 
Ngoja nianze kutongoza weekend hii. Upweke sio dili kabisa.

Naweza kupata nafasi.
 
Mwanaume Kutongoza idadi nyingi ya wanawake hiyo inamsaidia yeye kuwa na akiba tosha za wanawake
Pia inampa ujasili ktk mahamuz yake kwa wanawake zake
Kwel kabsa na stock yang ya kutosha sasa hivi fresh tu
 
Tatizo madem wa twn wanazngua ktu kimoja. Ukpga sound. Kesho yke ukimwita anakwambia sna naul. Ukmwambia tumia yko takuludshia, unashangaa bda ya dak10 kafka na bajaji af anakwambia.MLIPE PESA YKE. Ukiuliza bei gan unaambiwa elf20. Hapo bdo nauli ya kuludia. Hajala. Umpe na Kifuta jasho pia maana huwez mmega bureee!!! Mimi nmeamua kutokutongoza kbsaa aisee.

Bora niwe na dem mmoja wa kuniomba elf20 lakn sio hawa wa eof50 kila akja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…