Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Raha ya mtoto wa kike kutongozwa na fahari ya mwanaume kutongoza!

Utafiti mmoja niliowahi kuusoma unaeleza kwamba wanaume waoga wa kutongoza hutokea kuwa na hisia za kikatili hasa ukatili wa kijinsia?hisia za kukataliwa na kujihisi kupuuzwa na jamii,wengi huwa hawafanikiwa kimaisha!na huwa ni watu wanaotumia nguvu nyingi kujihami na adui ambaye Hamjui au hayupo!
 
Kupitia kutongoza wanawake mbali-mbali weusi/weupe,warefu/wafupi,umbile/kimo cha wastani na wembamba/wanene nimejikuta nimetambua/ nimefahamu/kujua kwa undani "saikolojia ya mwanamke" mtoto,msichana na mama wa makamo/watu wazima.
Hapo juu wanaingia matajiri na masikini ma bachela na wake za watu bila kuwasahau wake za watu!
Hasara ya kutokutongoza:-
1.wasiwasi muda wote.
2.kumbabaikia mwanamke/urimbukeni.
3.Udumavu wa akili.

ONYO:-lengo kuu hapa ili kuwatambua wanawake kiundani (kisaikolojia) na si kuwachakachua.
----Hapa pia itakusaidia kuwatambua wanawake wanaolichukia umbile lako hivyo kuwakwepa ili usitukanwe/kudhalilishwa mbele ya kadamnasi Siku za usoni!
 
ngoja..tujaribu..kutafuta,hizo..vacant..orbitals..mkuu.
saa..nyingine,hata..kama..iko..full..filled,unaeza..kureplace..tuu.
so..haitakiwi,kuogopa.
 
Siku huz na wai hawataki uwatongoze kabisaaaaaaaa mnakutana anagonga kirikuu zake za kutosha basi hapo baby mara uitwe mume wangu basi ili mradi figisu tu za kimahabaa ili ukamgegede.Na ole wako utongoze baba utazungushwa mwishoe utaambiwa ukajitambulishe
 
Back
Top Bottom