Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Aaaa lazima jpo kidevuni kue kunachomachoma.[emoji23] [emoji23]Ndio. Ndevu niwe naziona tu barabarani lakini sio kulala nazo kitanda kimoja. Kwanza naona zitanikosesha Uhuru wa kufanya yanayopaswa kufanyika
Unataka kidevu kiwe kma kiloparwa na kigae.[emoji23] [emoji23]