Kama unadhani Kuna nchi inapata misaada Kama Israel basi unajidanganyakila nchi duniani inapata msaada. Acha visingizio
Weka statistics nauhakika hawafiki hata kwa Iran.View attachment 2910857
View attachment 2910859
Israel ni taifa lenye maendeleo makubwa na uchumi mkubwa as per capita income kuliko mataifa yote middle East
Ni taifa tena lenye technologia kubwa pale middle East
Ni taifa lililopiga hatua kubwa Sana kwenye technologia ya kilimo, anga za juu, uchakaji wa madini, utaalamu wa mambo ya computer, nk.
Ni taifa lenye uwiano mkubwa wa watalaam. Kwa mfano, kwenye idadi ya watu 10000, Israel ina watalaamu 140. Ina maana kwenye watu 10000, Utapata madaktari bingwa 140, ma engineer 140.
Tuache utani, hawa jamaa wamejizatiti.
Israel ni mtoto wa mama,akijamba tu mama yake kishamchambisha.Kama unadhani Kuna nchi inapata misaada Kama Israel basi unajidanganya
Kichapo gani hamas wanatembeza mbona tunasikia kilio kwa wavaa dera vita visitishweHamas hawataki kujua hilo wao wanatembeza kichapo tu kwa mashoga...
Magaidi 10000 wamewahishwa kuzimu.Hamas hawataki kujua hilo wao wanatembeza kichapo tu kwa mashoga...
Kwenye teknolojia ni marekani ndiyo inayoifaidi israel,wataalam kwenye sekta nyingi nyeti marekani wana asili ya israel(jews)Kama unadhani Kuna nchi inapata misaada Kama Israel basi unajidanganya
Kwani wewe hupati misaada? Au unafuga kibuyu Cha ulanzi juu ya shingo hapoWeka na misaada wapatayo toka marekani na ulaya,na je bila hiyo wangekua wapi?..je Iran asingekua na vikwazo kwa miaka 45 takwimu zingesemaje!?
huna unachojuaKichapo gani hamas wanatembeza mbona tunasikia kilio kwa wavaa dera vita visitishwe
mashoga 8000 na vifaru vyao wapo jehannam saa hizi kazi ya Hamas hiyoMagaidi 10000 wamewahishwa kuzimu.
saw nyiny kuna mmejenga kwa cash ?Kama unadhani Kuna nchi inapata misaada Kama Israel basi unajidanganya
hiyo Africa yenu kuna mradi mmefanya kwa cash ?Kwa hisani ya USA.
kuna mrad nyie watz mmefanya kwa cash ?Israel ni mtoto wa mama,akijamba tu mama yake kishamchambisha.
hahaaaaaKwani wewe hupati misaada? Au unafuga kibuyu Cha ulanzi juu ya shingo hapo