Raia amshauri Rais Samia asiongeze mishahara

Niujinga kulialia kuongeezwa mishahaara, kazi ni utumwa.

Wafanyakazi mnashindwa hata na wauza madafu.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo sio watumishi tu,wabongokaribia wote tunamiyeyusho yetu kwenye kazi ila watumishi WANASTRESS pia.

Wanaona wenzao wengine hawawazi shida ndogondogo wanapokuwa kazini kutokana na mshahara angalau,allowances,nyumba na magari vyote serikali inawapa lakini wao ni mshahara angalau,kidogo yupo na allowances afu wengine ni mshahara tu.

Ukigeuka huku unasikia ripoti ya C.A.G,afu mshahara wako mchumba tu ukilinganisha na walio kwenye ripoti ya c.a.g
 
Kwani Rais anaendeleza ubabe wa Rais wa awamu ya 5 kuhusu nyongeza ya mishahara Kwa watumishi wa umma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…