Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Niujinga kulialia kuongeezwa mishahaara, kazi ni utumwa.Huyu mtu naona katumwa siyo bure kabisa.
Anasema kama mzalendo anamshauri Rais asiongeze mishahara ili fedha hizo zikatatatue kero za mafuriko na kwenye uchaguzi WA serikali za mitaa.
Huyu ametumwa namuona kama Yule muuza jogoo wa pale kulwa na Yule muuza mahindi wa pale Dumila
View attachment 2977748
Wafanyakazi mnashindwa hata na wauza madafu.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app