Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e
 
Back
Top Bottom