Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #41
😂😂😂maajabu mengine ya musa haya, kwa hyo kumbe ayatoula ni ukoo au familia fulani, ama kwel jf viazi haviishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂maajabu mengine ya musa haya, kwa hyo kumbe ayatoula ni ukoo au familia fulani, ama kwel jf viazi haviishi.
Nimekaa huko jamaa nawakubali sana na ukristo wangu lakini walini treat vizuri sanaNa makucha yake
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.
Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .
Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.
Kongole kwenu wairan
View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e
KUMBE WASIOMUAMINI SHETANI HUITWA MAKAFIRI...!!!Kama siyo propaganda hicho kichwa cha habari andika "wa Iran million 1 wamekua makafiri"
Sasa si umeshamkana mola kwa kumuita yesu mungu kwahiyo jina kafiri liko sehemu sahihiKAFIRI maana yake halisi hii hapa kwenye andiko:
Yuda 1:4
Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
serikali ya saizi inategemea diniKwani kusimama kwa serikali ya irani kunategemea dini au wahuni walitumia mwamvuli wa dini?
Utaokoka ukifa chuki inaonekana iko deepSasa si umeshamkana mola kwa kumuita yesu mungu kwahiyo jina kafiri liko sehemu sahihi
Shangaa naww😂KUMBE WASIOMUAMINI SHETANI HUITWA MAKAFIRI...!!!
Wana roho safiNimekaa huko jamaa nawakubali sana na ukristo wangu lakini walini treat vizuri sana
Ova
Hongera mwarabu mtarajiwa. Si bora kuwa kafiri kuliko muislamu? Najivunia mimi kafiri.Kama siyo propaganda hicho kichwa cha habari andika "wa Iran million 1 wamekua makafiri"
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.
Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .
Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.
Kongole kwenu wairan
View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e
Yes peaceful coexistence nor matter what or else choose violence which is bad choice.How do you peacefully coexist na mtu ambaye anajiona ndo ana haki na bora kuliko mtu mwingine yoyote chn ya jua, mtu ambaye hata akienda nchi za watu wenye tamaduni tofaut na yeye anataka watu waache tamaduni zao wafuate za kwake. how do yo coexist wth such a person?
Safi sasa wenzako wakiitwa makafiri hawatakiHongera mwarabu mtarajiwa. Si bora kuwa kafiri kuliko muislamu? Najivunia mimi kafiri.
Powerful ni relative term russia is military power vs china financial power ila usa has both.Nchi yenye nguvu zaidi Middle East or Arab World ni Saudi Arabia, na pia ndio nchi yenye uchumi mkubwa zaidi kuliko nchi nyingine yoyote ile ya ki-Arab hapa duniani. Aidha, Saudi Arabia ni rafiki mkubwa zaidi wa nchi ya Marekani.
Hata wakiondoka haifuti ukweli kuwa dini ya kweli ni uislamu
Mudy ndio kakudanganya sio?Hata wakiondoka haifuti ukweli kuwa dini ya kweli ni uislamu
FACT AND TRUTH, TRADE MARK YA QURAN ANAYO MWARABU, NA TRADE MARK YA BIBLIA ANAYO MZAYUNI, MNAGOMBANIA KITU GANI?Kafiri ni kwanyinyi mliofundishwa chuki
Kwa wakristu kafiri ni mtu ambae hana dini!
chuki inaua mkuu achana na hiyo chuki ya waarabu
Kama vile Zanzibar walivojaan wa kina nani viileee.... 🤭🤭wenzie yule Askari ALIESHATAKIWA, akashinda... Na sheria ya Imani yao wameishika haswa.... 😁 😁 😁Kumbe iran ndo ina highest number of drugs addiction????
Wanzanzibar washazoe michezo ya kibabaricKama vile Zanzibar walivojaan wa kina nani viileee.... 🤭🤭wenzie yule Askari ALIESHATAKIWA, akashinda... Na sheria ya Imani yao wameishika haswa.... 😁 😁 😁
Ayatoallah ni little usitishie watu hapa mna tabia ya kuabudu watu kweli ndo maana Mohamad licha ya ushetani wake wote aloutenda bado mnamwona ni mtume wa Mungu!Kuna mambo huyajui kuhusu Ayatollah;
1. Ana utajiri wa karibu sawa na bajeti ya miaka 30 ya tz
2. Ukoo wao ni dynasty yenye utajiri na ujuzi wa uongozi tangu enzi za akina AHASUERO (King Xerxes)
3. Ni rahisi kuletewa koromeo la shetani kuliko koromeo la Ayatollah
4. Haujaanza wewe kumtakia mabaya Ayatollah kuna wakati CIA walianza kuzisaka mali na uwekezaji wa huyu mwamba nje ya Irani ikiwamo ulaya na Marekani waliishia patupu pamoja na kwamba huyu jamaa anazo biashara za matrilioni hapo US sembuse wewe mwenye shida na ufukara wa kutisha ndio dua lako litamfikia kweli?