Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Kafiri ni kwanyinyi mliofundishwa chukiKama siyo propaganda hicho kichwa cha habari andika "wa Iran million 1 wamekua makafiri"
Chukisiku nikisikia kichwa cha ayatoula kimeliwa itakuwa poa sana, badala ya kuwaza maendeleo ya nchi anawaza kujenga misikiti na kufadhili ugaid, bure kabisa.
Na makucha yakeKumekucha
Ova
Haya sawa!!
kwannKumbe iran ndo ina highest number of drugs addiction????
Sawa fata maelekezo rekebisha nilivyokuelekezaKafiri ni kwanyinyi mliofundishwa chuki
Kwa wakristu kafiri ni mtu ambae hana dini!
chuki inaua mkuu achana na hiyo chuki ya waarabu
Kwenye rank za kimataifa kakakwann
mimi siwezi kusambaza chuki!!….Sawa fata maelekezo rekebisha nilivyokuelekeza
Yawezekana maana ule ukanda ndio wanaongoza kwa kulima OpiodKwenye rank za kimataifa kaka
nchi imejengwa kwa mapinduzi ya kiislamKubadili dini ndio anguko lainch??
Ila kusambaza propaganda za uongo unaweza?mimi siwezi kusambaza chuki!!….
fungua uzi wako wa chuki weka unavotaka
chuki ipi? linganisha maendeleo ya iran kabla ya mapinduzi na baada ya mapinduzi yaliyomfanya ayatoula mungu mtu pale iran.Chuki