Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

Ukisikia muislamu kawacha dini basi anakuwa ameingia kwenye mpira na ulevi na haingii Ukristo.
Wakristo wenyewe wanauwacha pembeni ukristo wao ama kuwa waislamu au mashetani wa mpira na muziki.
Hayo ni maoni yako!
ni vizuti uyajazie na takwimu
 
Kafiri ni kwanyinyi mliofundishwa chuki
Kwa wakristu kafiri ni mtu ambae hana dini!
chuki inaua mkuu achana na hiyo chuki ya waarabu

Usiumize kichwa mkuu.

Hawa kula kitimoto ni haramu ila binti wa miaka tisa ni halali kuolewa.

Elimu pekee wanayoijua ni madrasa, sasa unambie ujinga utawatoka hawa?
 
Ugaidi hauna nafasi
War is war ukivamia nyumba za watu na kutesa watu watalipiza hilo tegemea watu hawatakaa kimya Mandela alilipiza akaitwa gaidi akawekwa jela hakuna society itakayokubali kuonewa ndio maana kucompromise na dialogue ndio best solution ever no matter what hivo ndio namna pekee amani inatafutwa ila utauwa akina baba watakuja kupigana vijukuu and tbe cycle of violence continues
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

Propaganda hizi hazikuanza leo wala jana.

Holywood kazini.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Propaganda hizi hazikuanza leo wala jana.

Holywood kazini.

Wajinga ndiyo waliwao.
Hollwood hawana habar na dini wao ni ma atheist.
ushaona marekan wanahangaika na dini??
we bjbi bana
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

Tuko mwishoni maandiko lzm yatimie
 
Wakuu
Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam.

Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu.
Kifupi wairan ni kama wazungu hawatak kuamini katika nadharia za kidini .

Na pili wengi wao saizi hawaswali na mamilioni wanabadili dini kwenda kwene ukristu.

Kongole kwenu wairan

View: https://youtu.be/0gYVbK4kP2A?si=A4a5n2G-7pHIXk4e

cooked,

Muislam hawezi kuingia katika ukiristo kwa sababu ya mtu fulani au jambo fulani, Uislamu ni Imani what ever happen they believe in Allah, na kwa Allah ndio kuna msaada. Dini ya kiislamu haikutoka kwa mtu ilitoka kwa muumba, wala Uislamu sio chama cha siasa, wala waislamu sio wanasiasa leo hapa kesho pale, Imani ya Uislamu is something else.

Hizo ni habari za kupika tu., Wakiristo wana wivu sana na imani ya kiislamu, ndio maana wanapenda sana kupiga propaganda juu dini ya kiislamu, Muislamu wa kweli hatetereki kwenye imani.
 
cooked,

Muislam hawezi kuingia katika ukiristo kwa sababu ya mtu fulani au jambo fulani,
Jamaa umeamua kudanganya hadi tunakuona mjinga.. kuna mpaka yule Sheikh na ana kanisa all why hakuna Muslims decent labda wale walikuwa zamani waislam.. Majuzi nimetizama CNN msemaji wa Hamas nae anasema West Bank hakuna Hamas alipobanwa akasusa debate, wakati huo huo news Hamas wameclaim kuwa Wanachama wao wamefanya shabulio westbank na tel aviv.. yaani Uislam uongo ni sehemu ya Ibada kwenu.. Kadanganye madrassa kuwa Waislam hawaendi ukristo... na ile sharia ya kuwaua walibadili imefutwa? kaulize Pakistan majuzi tu wamenyonga raia kw kubadili from Islam to Christianity.
Uislamu ni Imani what ever happen they believe in Allah,
Shetani kwani ahadi za Allah ni Sex group Pimp,Pombe Peponi,Wafanyakazi wasaidizi vitoto huko peponi,Sofa set,Ndizi,market yenye vyumba nje kuna picha za wanaume ukipenda unaingia unamaliza haja zako, na ujinga mwingi. ndio ahadi za Allah ni ushatani tu.
na kwa Allah ndio kuna msaada.
Allah hajawahi kuwepo so msaada upi...? upiii? tutajie japo mmoja tu.. maana Mtume wenu Mudy aliumwa na alishindwa kumsaidia hadi akadedi, alitaka kupigana na waroma akashindwa.. Mudy he use that name for personal gain..
Dini ya kiislamu haikutoka kwa mtu ilitoka kwa muumba,
Muumba ni YHWH though his Word Jesus... Allah ni Sanamu pale Mecca pagan Goddess even historical Middle east they use to call Moon God with his Daughters Al-lat,Manat and Al uzza..
wala Uislamu sio chama cha siasa, wala waislamu sio wanasiasa leo hapa kesho pale, Imani ya Uislamu is something else.
Kasome Vizuri tena Dini unaposikia Islamic Republic ujue ni Siasa hizo ila wewe huna akili unaandika tu hadharani ukidhani wanaosoma ni waislam maana mliamirshwa msiulize ulize mkaja poteza imani Quran 5:101
Hizo ni habari za kupika tu., Wakiristo wana wivu sana na imani ya kiislamu,
Hahahahaha Wivu kwa Shetani hahaha Makubwa haya.. Nyie ndio imani yenu hamuishi kututaja hadi mmetufanya tuamke na wala sio maamuzi yetu.. hebu sikieni nyie nyamazeni muone kama sisi tutaongea kitu.. Matatizo yote nyie ndio mnaleta kwa kutukera hadi kero.. tulieni sisi hatuna chuki na yeyote ila nyie dah kutwa kila muda.. Tatizo Allah amewafanya mtuchukie bila sababu kwa kututusi na maneno yake machafu.. Hebu Soma hii aya chini ujue Allah kama ni Mungu au Ni Shetani.. na kama Mnaamini kuwa Ule msemo Inshaalh yaani kila kitu anapannga Allah basi ujue Chuki amepandikiza Allah na kwa hili basi Allah ndie Shetani kwani kazi kuu ya Iblisi ni kupandikiza chuki na uadui
QURAN 5:14
Na kwa wale wanaosema: “Sisi ni Wakristo,” Tulichukua ahadi yao, lakini wakapuuza sehemu ya yale waliyokuwa wameamrishwa. Basi tukapandikiza uadui na chuki uenee baina yao mpaka Siku ya kiama.

And from those who say, “We are Christians,” We took their covenant, but they neglected a portion of what they had been commanded to uphold. So We let hostility and enmity arise between them until the Day of Judgment, and soon Allah will inform them of all they have done.
— Dr. Mustafa Khattab, The Clear Quran
ndio maana wanapenda sana kupiga propaganda juu dini ya kiislamu,
Tambua Allah ndio kapanga sababu ndie Iblisi au Allah sio mpangaji hahahaha...
Muislamu wa kweli hatetereki kwenye imani.
Wewe imani yako ni ipi isiyotetereka? maana katika uislam hamna hata kimoja cha ukweli zaidi ni uongo from bigining to the end..
Tuje kwenye IMANI Mtume wenu anasemajie kuhusu Imani Sahih Hadith
Mtume wenu alisema uislam utapotea kama joka linavyozama kwenye shimo lake yaani potea
كتاب الإيمان 1 Faith (6a)
Chapter: Reliance on the Book and the Sunnah - Section 1(6a)
باب الاعتصام بالكتاب والسنة - الفصل الأو
He also reported God’s messenger as saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few [who hold to it]'

Kutoka kwa Abu Hurairah (Radhiya Allaahu ‘anhu) amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): “Uislamu ulianza ukiwa ni kitu cha ajabu na utarejea katika ule ulivyoanza. Watabarikiwa ni wachache.”
Narrated Kathir bin 'Abdullah bin 'Amr bin 'Awf bin Zaid bin Milhah narrated from his father, from his grandfather:
that the Messenger of Allah (ﷺ) said: "Indeed the religion with creep into the Hijaz just like a snake creeps into its hole, and the religion will cling to the Hijaz just like the female mountain goat cling to the peak of a mountain. Indeed the religion began as something strange and it will return to being strange. So Tuba is for the strangers who correct what the people have corrupted from my Sunnah after me."
 
Back
Top Bottom