Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliekua akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowasa
Sio Kwa Ngumi hii aisee halafu Huyu aliepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisaView attachment 2904937
Wanatuona kama nyau tuHuu msiba sie wanyongehautuhusu kumbe
Hawa ni wauwaji wakubwa sana ndio michezo Yao hii full roho mbayaTiss
Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Aisee😭Hawa ni wauwaji wakubwa sana ndio michezo Yao hii full roho mbaya
Hawa ni wauwaji wakubwa sana ndio michezo Yao hii full roho mbayaTiss
Kule hatuko ngumi majeshi yetu waliwatandika mkuranga,kibiti na Rufiji wakakimbilia MsumbijiMbona hizo ngumi zimewashinda hapo mpakani na Mozambique?
Nimeona Mkuu nahisi TBC walipewa maelekezo toka juuKaondoka watu washaidaka
Eti wanafanya ulinzi kwa marehemu😂😁
Kweli vihere here! waachie akina Mwashambwa machawa wazike tu hata wakiuliwa!Kumbe tuwaachie muwe mnazikana wenyewe tuh maana mmetuona viherehere. Watanzania wote Arusha na monduli kwa ujumla jiepushane na msiba wa lowasa msije mkapigwa ngumi za uso au Risasi. Waachieni kina Nape na Makonda hao ndio walio mpenda.
Hiyo ni kesi kabisa sema kibongobongo ishatoka.Mlinzi gani unprofessional kabisa.Hawa vijana wetu tunaochukua wa Div 4 ya mwisho wanatupa shida sana. Imagine Taasisi nzima inaonekana hamnazo kisa mtu mmoja kama huyu. Pole sana kwa mwathirika waa tukio hili.
Iko vizuriNgumi ya komando
Kiherehere.Hii misiba ya vigogo walalahoi inawahusu nini? Acha vigogo wazikane wao kwa wao. Ona sasa mlalahoi katuangwa ngumu kizembe. Hawa vigogo wakifa tuwalilie na kuhuzunika pembeni mbali kabisa kujiepusha na dhakhma kama hizi