Anaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.
Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.
Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.
Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.
Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.
Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.
Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?