Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akifa watajijua ndugu zake sio big dealDaah jamaa ngumi moja mpaka kazimaaa...alivyodondoka pale akidondokea kisogo akafa sijui inakuwaje anayway ndo maana hao watu huwa ni form 4 failure.
Hakuna upendo usio na masharti tii Sheria na taratibu hapo katandikwa mtu mmoja tu mbona kukikuwa na maelfu kando ya barabara kuaga maiti mbona hakuna aliyewapiga vibao Wala ngumi kama huyo mmoja?Halafu kuna wajinga wanasema tanzania ina upendo,
Uko sahihi kabisa mia Kwa miaAnaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.
Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.
Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.
Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.
Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.
Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.
Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?
Jamaa una midadi na mzoga wa FISADI LOWASA 😂😂😂Escort yote Ile wanajeshi makomandoo wote wale na polisi special unit wote wale na walinzi wa usalama wa taifa wote wale mbona angesagwa kama unga inayosaga mashine ya kusaga
Misafara wa maiti ya Lowasa waziri mkuu mstaafu Ile gari ya mbele ya maiti ya JWTZ inaongozwa na na generali wa nyota tatu Yuko mle ndani hujaona gari yenye nyota tatu mbele ya Jeneza la Lowasankwenye plate number? Generali nyota tatu Ulinzi wake ujue ukivamia hata Mlinzi wake ni sawa na kuua huyo generali hata ukijeruhi tu inahesabika umemjeruhi generali sio Mlinzi tu
Yule Mlinzi kazi zake zilikuwa mbili kulinda generali wa nyota tatu na kulinda maiti angethubutu huyo bwege kutoa kisu maiti yake hata hakuna ambaye angeitambua ni nani wangemsaga kama unga wa ngano ya Bakhresa
Ngumi Iko vizuri kuanzia sipdi ya kupiga timely,Shabaha ya kupiga panapostahili na kuleta matokeo stahiki at the right time na bila ku disrupt mwendelezo wa kazi yake ya kusindikiza msafara akiwa mbele na position yake ya mbele alibaki nayo pale pale bila kuhitaji mtu atoke nyuma kuja ku take over position yake aliyokuwa nayo.Ni study case nzuri sana Kwa walinzi wa misafara .Hiyo clip itumike Hadi vyuo vya kijeshi vinavyofunza Escort
Yuko fit.mwepesi kupiga na ku maintain position yake bila ku loose position yake at the same time in very short time spidi ya mwewe.na kuendelea na majukumu yake ya msafara same position kituo kile kile Cha kazi kwenye msafara
Haijalishi ni CCM au upinzani kutii Sheria na taratibu bila shuruti kunahusu woteJamaa una midadi na mzoga wa FISADI LOWASA 😂😂😂
Sema hilo lijamaa nalo lina kiherehere sana, eti anapunga mkono!
Aliyepigwa ngumi anaonekana ni mfuasi wa CCM huyo amekaa kiboya sana linapunga tu mikono kama zuzu. HOW COME??
Niache kulima bustani yangu ya nyanya niende nikasujudie mzoga wa FISADI LOWASA??? inaseekeeteshaa sana!
Ulishapigwa ngumi na commandoo wa JWTZ Wewe au nduguyo ? Ngumi moja tu aweza rudisha Namba Kwa mungu wakeMbona kama mpigwaji kaongeza chumvi ya matokeo la lile sumbwi. Yaani upigwe alafu unazima 100% bila hata kufurukuta mkuu.
Au imedisturb connection ya ubongo na kiwiliwili🙂🙂
Mwanajeshi haruhusiwi kupiga raia wa kawaida.Akifa watajijua ndugu zake sio big deal
Ndio maana ukiambiwa tii Sheria na taratibu bila shuruti uelewe
Hii kitu nimeona tangu juzi..Hii misiba tuwaachiage wenye fedha tuu ndo wawe wanashiriki
Hakuna lolote, nimeiangalia video nikagundua hiyo ngumi ni ya kawaida sana.Anaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.
Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.
Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.
Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.
Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.
Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.
Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?
Una roho mbaya sana wewe na yawezekana wewe ni askari ndio maana mna vifo vyenye laana nyie.Hakuna upendo usio na masharti tii Sheria na taratibu hapo katandikwa mtu mmoja tu mbona kukikuwa na maelfu kando ya barabara kuaga maiti mbona hakuna aliyewapiga vibao Wala ngumi kama huyo mmoja?
Hao walinzi ni trained wanajua sehemu za kupiga.Mbona kama mpigwaji kaongeza chumvi ya matokeo la lile sumbwi. Yaani upigwe alafu unazima 100% bila hata kufurukuta mkuu.
Au imedisturb connection ya ubongo na kiwiliwili🙂🙂
Ha ha, wewe jamaa una IQ ya juu sana. Lazima unapigwa majungu Kila unapotafutia maokotoHakuna lolote, nimeiangalia video nikagundua hiyo ngumi ni ya kawaida sana.
Hiyo sio ngumi ya kushindilia, ni ngumi ya ubapa ya kuangusha mtu. Ni ngumi ya ubapa wa mkono sio ngumi ya mkunjo wa kiganja.
Huyo mlevi ameanguka kwa sababu amepigwa bila kutarajia halafu alikuwa ametepeta sana, sio kwamba ameanguka kwa sababu ya uzito au ukali wa ngumi.
Kapolisi kenyewe kafupi kana kitambi cha machicha na shati lake la mtumba!!! Hana maajabu kabisa.
Cc Nyani Ngabu
Mbona FISADI LOWASA alivyokufa mkawashinikiza watanganyika wote watoe machozi na kuomboleza?Akifa watajijua ndugu zake sio big deal
Kwa hiyo mazoezi ya wavunja matofali ni kwa ajili ya kupiga walevi?Anaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.
Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.
Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.
Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.
Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.
Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.
Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?