HayakuhusuKwani huyo jamaa ni mtumishi wa taasisi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayakuhusuKwani huyo jamaa ni mtumishi wa taasisi gani?
Komando ni ishu tofauti.Ulishapigwa ngumi na commandoo wa JWTZ Wewe au nduguyo ? Ngumi moja tu aweza rudisha Namba Kwa mungu wake
Alishatenga muda kwa ajili hiyo, rejea kauli yake kuhusiana na shambulio la Tundu LissuHana muda wa kijinga kama huo ana kazi nyingine nyingi za kusaidia Watanzania
Kweli, kumbe hao jamaa ni hatari sio wa kuwasogelea. Unaweza kukata moto kimchezomchezoHao walinzi ni trained wanajua sehemu za kupiga.
Wanapewaga bangi nyingi sanaKuna walinzi wengine sijui wanakua ni vichaa wamepewa kazi ya ulinzi sasa kulikua na haja gani ya kumpiga ngumi Kali kiasi hicho kwanini usimsukume kidogo tu pembeni daah mtu ha silaha unampiga kiasi hicho daah
Ndio maana si busara kugombana na usiemjua.Kweli, kumbe hao jamaa ni hatari sio wa kuwasogelea. Unaweza kukata moto kimchezomchezo
Ungepata tabu sana MkuuYaani nisingekubali ningemrushia hata jiwe
Kumbafu zake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanangu unaroho ngumu sanaNdio wakome kwenda barabrani wakiambiwa tukaandamane hawatakai kujiyokeza ila kwenye msiba ya viongozi anakwenda kukaa barabarani Safi San afande
Jamaa kazimia, atarushaje jiwe, kapigwa ndoigeYaani nisingekubali ningemrushia hata jiwe
Kumbafu zake
Sasa wewe unaona fahari gani kuulinda MZOGA WA FISADI LOWASA?Haijalishi ni CCM au upinzani kutii Sheria na taratibu bila shuruti kunahusu wote
Analinda maiti isiuliwe tena. Hovyo kabisa huyu mlinziKwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Huyu Edo si ndio alipata utajiri wake kwa kutupiga ktk RichMondynchi ya vichaa
Too late. By the time unazinduka msafara uko Monduli na wewe hospitali unajiuliza umefikaje huku unasikia maumivu makali shingoni. 🤣🤣😇😇Yaani nisingekubali ningemrushia hata jiwe
Kumbafu zake
Atateuliwa kuwa IGPInasikitisha sana kuona mtu akifanyiwa ukatili wa namna ile. Huyo mlinzi labda huenda ni mvuta shisha.
Amepoteza fahamu mpaja saa hiziHuyo aliyepigwa ngumi ni lazima kuna meno kadhaa ameyatema chini coz ngumi imeenda kwenya taya direct.