Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

Hawajajifunza kwa yule mwenzao aliechomwa bisibisi sijui kisu? Siku ingine atakutana na raia mwepesi ataaibika.
 
Anaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.

Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.

Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.

Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.

Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.

Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.


Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?
Uko sahihi kabisa mia Kwa mia
 
Escort yote Ile wanajeshi makomandoo wote wale na polisi special unit wote wale na walinzi wa usalama wa taifa wote wale mbona angesagwa kama unga inayosaga mashine ya kusaga

Misafara wa maiti ya Lowasa waziri mkuu mstaafu Ile gari ya mbele ya maiti ya JWTZ inaongozwa na na generali wa nyota tatu Yuko mle ndani hujaona gari yenye nyota tatu mbele ya Jeneza la Lowasankwenye plate number? Generali nyota tatu Ulinzi wake ujue ukivamia hata Mlinzi wake ni sawa na kuua huyo generali hata ukijeruhi tu inahesabika umemjeruhi generali sio Mlinzi tu

Yule Mlinzi kazi zake zilikuwa mbili kulinda generali wa nyota tatu na kulinda maiti angethubutu huyo bwege kutoa kisu maiti yake hata hakuna ambaye angeitambua ni nani wangemsaga kama unga wa ngano ya Bakhresa
Jamaa una midadi na mzoga wa FISADI LOWASA 😂😂😂

Sema hilo lijamaa nalo lina kiherehere sana, eti anapunga mkono!

Aliyepigwa ngumi anaonekana ni mfuasi wa CCM huyo amekaa kiboya sana linapunga tu mikono kama zuzu. HOW COME??

Yaani niache kulima bustani yangu ya nyanya niende nikasujudie mzoga wa FISADI LOWASA??? inaseekeeteshaa sana!
 
Mbona kama mpigwaji kaongeza chumvi ya matokeo la lile sumbwi. Yaani upigwe alafu unazima 100% bila hata kufurukuta mkuu.
Au imedisturb connection ya ubongo na kiwiliwili🙂🙂
Ngumi Iko vizuri kuanzia sipdi ya kupiga timely,Shabaha ya kupiga panapostahili na kuleta matokeo stahiki at the right time na bila ku disrupt mwendelezo wa kazi yake ya kusindikiza msafara akiwa mbele na position yake ya mbele alibaki nayo pale pale bila kuhitaji mtu atoke nyuma kuja ku take over position yake aliyokuwa nayo.Ni study case nzuri sana Kwa walinzi wa misafara .Hiyo clip itumike Hadi vyuo vya kijeshi vinavyofunza Escort

Yuko fit.mwepesi kupiga na ku maintain position yake bila ku loose position yake at the same time in very short time spidi ya mwewe.na kuendelea na majukumu yake ya msafara same position kituo kile kile Cha kazi kwenye msafara
 
Jamaa una midadi na mzoga wa FISADI LOWASA 😂😂😂

Sema hilo lijamaa nalo lina kiherehere sana, eti anapunga mkono!

Aliyepigwa ngumi anaonekana ni mfuasi wa CCM huyo amekaa kiboya sana linapunga tu mikono kama zuzu. HOW COME??

Niache kulima bustani yangu ya nyanya niende nikasujudie mzoga wa FISADI LOWASA??? inaseekeeteshaa sana!
Haijalishi ni CCM au upinzani kutii Sheria na taratibu bila shuruti kunahusu wote
 
Hii misiba tuwaachiage wenye fedha tuu ndo wawe wanashiriki
Hii kitu nimeona tangu juzi..
Kuanzia mwili unaagwa pale karimjee na jana pale kanisani Azania Front, Getini wanakuwepo askari polisi na watu wa usalama wanachuja watu wanaoingia na wanaruhusiwa vigogo wa serikali na watu maarufu au wanaofahamika tu, sasa najiuliza wakati mwingine hata kama msiba unakugusa kiasi gani lakini kama unajijua kabisa kwamba wewe ni wale wenzangu na mie kwa nini uhangaike kupeleka kiherehere kwenye misiba ya watu ukijua lazima utasumbuliwa au kuzuiwa kabisa kuingia msibani?
 
Anaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.

Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.

Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.

Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.

Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.

Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.


Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?
Hakuna lolote, nimeiangalia video nikagundua hiyo ngumi ni ya kawaida sana.

Hiyo sio ngumi ya kushindilia, ni ngumi ya ubapa ya kuangusha mtu. Ni ngumi ya ubapa wa mkono sio ngumi ya mkunjo wa kiganja.

Huyo mlevi ameanguka kwa sababu amepigwa bila kutarajia halafu alikuwa ametepeta sana, sio kwamba ameanguka kwa sababu ya uzito au ukali wa ngumi.

Kapolisi kenyewe kafupi kana kitambi cha machicha na shati lake la mtumba!!! Hana maajabu kabisa.

Cc Nyani Ngabu
 
Hakuna upendo usio na masharti tii Sheria na taratibu hapo katandikwa mtu mmoja tu mbona kukikuwa na maelfu kando ya barabara kuaga maiti mbona hakuna aliyewapiga vibao Wala ngumi kama huyo mmoja?
Una roho mbaya sana wewe na yawezekana wewe ni askari ndio maana mna vifo vyenye laana nyie.

Askar mwenye weledi na mafunzo kamili hawezi kufanya hicho alicho fanya huyo askari kilaza
 
Hakuna lolote, nimeiangalia video nikagundua hiyo ngumi ni ya kawaida sana.

Hiyo sio ngumi ya kushindilia, ni ngumi ya ubapa ya kuangusha mtu. Ni ngumi ya ubapa wa mkono sio ngumi ya mkunjo wa kiganja.

Huyo mlevi ameanguka kwa sababu amepigwa bila kutarajia halafu alikuwa ametepeta sana, sio kwamba ameanguka kwa sababu ya uzito au ukali wa ngumi.

Kapolisi kenyewe kafupi kana kitambi cha machicha na shati lake la mtumba!!! Hana maajabu kabisa.

Cc Nyani Ngabu
Ha ha, wewe jamaa una IQ ya juu sana. Lazima unapigwa majungu Kila unapotafutia maokoto
 
Akifa watajijua ndugu zake sio big deal
Mbona FISADI LOWASA alivyokufa mkawashinikiza watanganyika wote watoe machozi na kuomboleza?

Kuna haja gani ya kuomboleza mzoga wa FISADI LOWASA wakati watanganyika wana majukumu ya msingi ya kufanya??

Naagiza kesho huo mzoga ufukiwe mara moja ili taifa liponywe moja kwa moja dhidi ya FISADI SUGU ukanda wa Afrika mashariki na kati.
 
Anaprotekt maiti. Yeyote anayeikaribia ni thread.... Anamuata huyo.

Huyo mlevi wa chuga angeigusa hiyo gari huyo komando angepata kibano kikali kuliko alivyompa kichapo kinono.

Huwa mnawakebehi wakivunja tofali, Leo mmeona shoooo ya jwtz/tiss.

Hongera jwtz/tiss Kwa kulinda hadhi.

Wananchi endeleeni kutunidha misuri Kwa polisi, kmkm na migambo.

Msijaribu kumtunishia msuri jwtz, magereza na ju! Tiss wakiwa kwenye op zao ni wanyama kuliko nyati aliyejeruhiwa.


Narufia, msilete ujuaji Kwa vyombo vya Dola. Hawana huruma, hata wa depo wako akizingua unamkamua kende sembuse wewe mpiga kura?
Kwa hiyo mazoezi ya wavunja matofali ni kwa ajili ya kupiga walevi?
After all huyo kamaa haonekani kuwa threat kwa mwili wala wanaousindikiza mwili.
Kama angekuwa na thamani ilipaswa kipindi cha Uhai wake waipiganie na kulindwa hasa pale watu fulani walipokuwa wakimtusi kuwa ameji*** by the way siwezi nikaandika kashfa ma matusi dhidi yake, sababu ni kati ya wanasiasa ninaowaheshimu mchini kwa utulivu wao.
 
Back
Top Bottom