Huyu mlizi alikusudia kumwua jamaa, hiyo ngumi ya kuua sio ovyoMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Yes,una thamani zaidi.Hiki ni kiburi cha hali juu. Mwili wa Lowassa una thamani kuliko mtu aliye hai. Kwanza kuna mantiki gani ya kukimbia pembeni ya gari utadhani wamebeba kitu cha thamani sana? Kwa upande wa pili wa shilingi. Na sisi raia tumezidi ukondoo. Watu kama hawa wanapofariki kwa nini tusijikalie nyumbani ili wajue kuwa hatuwathamini kama wasivyotuthamini?
Umeona amelizuia gari? Hakuwa na ndugu? Wananchi na sisi tuache ukondoo huyo mlinzi alikuwa wa kupigwa na nzengo nzima!Kwani mlinzi katumia silaha?
Watu lazima wajifunze itifaki ya misiba ya kitaifa. Anakwenda kulizuia gari ili iweje? Wafe na Lowassa?
Mbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?
Wewe na huyo mlinzi hamna tofauti.Weka video
Mbona nimesikia Amefariki huyo Mzee?
Kwa taarifa za kuambiwa ambazo sijazithibitisha bado ni kuwa Amefariki
🤣Maiti pia hulindwa wanga wengi waweza itaka maiti kuchukua nyota au viungo vya watu maarafu kufanyia uganga
Usitumie nguvu mkuuWewe na huyo mlinzi hamna tofauti.
🤣😂
View: https://youtu.be/DvauMkQGqk4?si=7ZVIX28JOfDXubms
Mbona mwamba yupo vizuri anaendelea kula kitoko na zed
Shisha iliyowekwa bangiInasikitisha sana kuona mtu akifanyiwa ukatili wa namna ile. Huyo mlinzi labda huenda ni mvuta shisha.
Video ipo kwenye Post wewe unadai iwekwe video nyingine!Usitumie nguvu mkuu
Mnatututaftiaga ban ngoja nikae kimyaHakutakiwa kuusogelea misafara kapata posho yake
Kubugia Viroba vya pombe huyo vimemponza pombe sio chai Ona Sasa kilichomkuta angelewa akabaki nyumbani yasingemkuta
Ngumu nzito mpk jamaa kazima😂😂😂Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.